lady roranky
Member
- Aug 7, 2011
- 73
- 14
msanii muigizaj hemed(swagalishaz) ametia aibu jana katika jukwaa kwa kushindwa kupaform vizur na majaji walimuongelea kwamba yeye yuko talented na swaga (chen na miamvuli than singing) he make it ila dis boy ameconcetrate kwenye muonekano zaid this is not the way people represent their countries ,,BE SERIOUS ili uwacomvice watanzania wakuvote !!!!