Naona hemed ajui kilichompeleka tusker project firm

lady roranky

Member
Aug 7, 2011
73
14
msanii muigizaj hemed(swagalishaz) ametia aibu jana katika jukwaa kwa kushindwa kupaform vizur na majaji walimuongelea kwamba yeye yuko talented na swaga (chen na miamvuli than singing) he make it ila dis boy ameconcetrate kwenye muonekano zaid this is not the way people represent their countries ,,BE SERIOUS ili uwacomvice watanzania wakuvote !!!!
 
Hayo yalikuwa ni maoni ya majaji, kila mmoja ana mtizamo wake na anapenda nn kwa msanii anayemwangalia, hata hivyo nakubaliana (mtizamo wangu) anapaswa Hemed kufanya juhudi kubwa kama lilivyo jina lake
 
kuna wasanii wa kideo na wa redio!dogo kideoni mtamu sana ni jitihada kidogo tu aongeze!the boy is talented
 
Hemed can do better but only if he stops thinking that people like him coz of his looks...!! Thats nt the reason he's up there..he's got 2 concentrate..
 
Hemedi amejikita kujisifia zaidi kuliko mambo yote, utasikia akisema mi ni braza men, nina macho mazuri etc, hivi ni mwanume gani anajisifia uzuri? Khaaa!!
 
Takbir. Kwa mtaji huu, basi wamchukue tu huyu mwana kondoo wa Allah na wampeleke msikitini awe anaishi mule, na wakati wa swala ya Ijumaa awe anakaa mbele na Sheikh akichangia kwa meee, meee zake za hapa na pale. Mavi ya huyu mwana kondoo, Waumini wayakusanye kwa uangalifu na uadilifu mkubwa na kuyatumia kama kiungo kwenye futari zao. Na kondoo huyu asichinjwe! La Hasha! Bali aruhusiwe kuishi nyumbani kwa Sheikh kama mtoto wake wa kuzaa hadi siku yake ya mwisho ifikapo hapa duniani, ambapo mwana kondoo wa Allah atazikwa kwa tartibu na heshima zote za Kiislamu.
<br />
<br />
Am I dreaming? Hee inahusika nini na Hemed?
 
Hemed can do better but only if he stops thinking that people like him coz of his looks...!! Thats nt the reason he's up there..he's got 2 concentrate..
<br />
<br />
Kwenye maigizo na kuuza sura ndo mahala pake bt nt singing jaman waimbaji hatuna kiasi hcho kweli?
 
hemedi ni sharobaro mno, tena ana mapozi ya kizamani, mwavuli wa nini, na miwani ya jua ya nini, hana tofauti na wale mademu wa kibongo waliopelekwa kule kwa BBA.
 
kaza buti hemedi na zingatia maoni ya majaji ili ufike mbali, naona ulikuwa unajiangali kama umebamba kimavazi ukasahau kuimba which was the key issue
 
&lt;u&gt;Siyo &lt;b&gt;Tusker Project 'Firm' &lt;/b&gt;&lt;/u&gt;ni &lt;i&gt;&lt;b&gt;Tusker Project 'Fame''&lt;/b&gt;&lt;/i&gt;
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
I WAS ABOUT TO CORRECT HER ANYWAYZ WE LEARN THROUGH MISTAKES
 
Back
Top Bottom