ni muda wa miezi mitatu toka nijuane na huyu mwanamke lkn nahisi si chaguo langu, kila nikijitahidi kuachana nae nashindwa najikuta narudiana nae.
ukiona hvyo ndyo wako huyo
Kwani tatizo ni nini mpaka utake kumuacha?
ni muda wa miezi mitatu toka nijuane na huyu mwanamke lkn nahisi si chaguo langu, kila nikijitahidi kuachana nae nashindwa najikuta narudiana nae.
Miezi mitatu halafu ushaachana nae nakurudiana??? You are joking bro..............ila sijui umesema tu kila ukiachana hujasema mara ngapi the way I see hujatulia