Naombeni ushauri

Goodluck7

Member
Mar 4, 2022
6
8
Nina wazo la kufanya biashara ya ndizi either kutoka Bukoba kwenda Mwanza ama Dar, na mikoa mingne ila sina idea yoyote ya wapi naanzia, mtaji kiasi gani unahitajika na masoko yapoje.

Kwa anaefahamu naomba anipe shule kidogo
 
Pambania kwenye masoko ili iwe rahisi kuuza. Mtaji unaweza anza ata na mikungu 10
 
Back
Top Bottom