Naombeni ushauri: Rafiki yangu amehamia kwangu na mabegi

Ndugu zangu naombeni mnishauri katika hili, nimemaliza chuo bado issue ya ajira nimepanga kachumba kamoja ndo najitafuta hapa kimaisha nabangaiza bangaiza.

Nina rafiki yangu tokea chuoni huko wote tunaishi humuhumu Dar sasa alinambia atakuja maeneo ninayoishi. Huwa anakuja mara kwa mara kutembea huku ila huwa halali yeye anakaa kwa mjomba wake huko

Sasa aliniuliza kama nitakua geto siku ya jana nikamuambia sitokuwepo maana nlikua kwenye mihangaiko yangu leo akanipigia asubuhi akanambia kama nitakuwepo nikamuambia kuwa nitakuwepo basi akasema atapita anisalimie nikamwambia haina noma atanikuta

Ghafla mtu kaja na mabegi akayaweka akasema kuna mahali anaenda mara moja kupeleka mafile fulani hivi, akaenda akarudi ndo akanambia haelewani na mjomba wake leo ameamua kuondoka ili akaanze maisha so ndo kaja kwangu na haijulikani ataondoka lini?

Kilichonishangaza kwanini hakunambia mapema? Mimi maisha bado sana, pia hana kazi wala mishe yoyote, na kanishtukiza kabisa kiukweli binafsi nishaurini nifanyeje maana siwezi kuishi na mtu kabisa kwasasa maana ndo naanza maisha na mimi ni muhanga niliwahi kusapriziwa na rafiki hivyo hivyo akasema anakaa wiki ila akakaaa miezi 3 na hakuna rangi sikuiona

Naombeni ushauri maana akili yangu ni kama haipo sawa nina matatizo kibao kwasasa na nina mizigo mingi ya kimaisha yangu bado ni magumu mno sina ajira nabangaizabangaiza tu

MWENDELEZO:Mimi ni muhanga wa kukaribisha marafiki,nilishawahi mkubalia rafiki yangu akaishi na mimi hakuna rangi sikuiona ndo maana toka kipindi hicho sipendi kuishi kabisa na marafiki napambana tu mwenyewe
Usijali yeye anayo pesa ya matumizi yenu, kama umekwisha chumbiwa inekula kwako kumbuka chuoni alikuahidi atakuoa ukakubali.
 
Namwelewa kabisa, unaweza kuambiwa provoking words ambazo ni beyond human mind comprehension, acha kabisa baadhi ya ndugu...Mimi nikiwa kijana yalishanitokea nikaondoka kwenda kuishi mtaani, Leo nimetoboa ndugu wale wale Leo wanajitanabaisha ndiyo sababu ya mafanikio yangu, wanasahau kuwa nilihama kwao usiku wa manane. Hakuna kitu kibaya kama kuwa abused na ndugu yako.

Wengine hamjapitia haya maisha...We mtu mpaka anabeba begi anakwenda asikokujua you think is just easy? Amewaza na kuwazua akaamua ajilipue tu Kwa rafiki yake...
Sio kwamba hatujapitia mi siku nikitoa ushuhuda wa maisha niliyopitia hakuna mtu anayeweza kuamini. Maneno ya kejeli ilikuwa sehemu ya maisha yetu. Na siku zote ili yasikuteke yachukulie kama changamoto. Tunachosema kama ni mshikaji ilipaswa amshirikishe kabla ya kwenda. Huo ndo ubinadamu bhanaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndugu zangu naombeni mnishauri katika hili, nimemaliza chuo bado issue ya ajira nimepanga kachumba kamoja ndo najitafuta hapa kimaisha nabangaiza bangaiza.

Nina rafiki yangu tokea chuoni huko wote tunaishi humuhumu Dar sasa alinambia atakuja maeneo ninayoishi. Huwa anakuja mara kwa mara kutembea huku ila huwa halali yeye anakaa kwa mjomba wake huko

Sasa aliniuliza kama nitakua geto siku ya jana nikamuambia sitokuwepo maana nlikua kwenye mihangaiko yangu leo akanipigia asubuhi akanambia kama nitakuwepo nikamuambia kuwa nitakuwepo basi akasema atapita anisalimie nikamwambia haina noma atanikuta

Ghafla mtu kaja na mabegi akayaweka akasema kuna mahali anaenda mara moja kupeleka mafile fulani hivi, akaenda akarudi ndo akanambia haelewani na mjomba wake leo ameamua kuondoka ili akaanze maisha so ndo kaja kwangu na haijulikani ataondoka lini?

Kilichonishangaza kwanini hakunambia mapema? Mimi maisha bado sana, pia hana kazi wala mishe yoyote, na kanishtukiza kabisa kiukweli binafsi nishaurini nifanyeje maana siwezi kuishi na mtu kabisa kwasasa maana ndo naanza maisha na mimi ni muhanga niliwahi kusapriziwa na rafiki hivyo hivyo akasema anakaa wiki ila akakaaa miezi 3 na hakuna rangi sikuiona

Naombeni ushauri maana akili yangu ni kama haipo sawa nina matatizo kibao kwasasa na nina mizigo mingi ya kimaisha yangu bado ni magumu mno sina ajira nabangaizabangaiza tu

MWENDELEZO:Mimi ni muhanga wa kukaribisha marafiki,nilishawahi mkubalia rafiki yangu akaishi na mimi hakuna rangi sikuiona ndo maana toka kipindi hicho sipendi kuishi kabisa na marafiki napambana tu mwenyewe
Huu ndio wakati sahihi wa kuinuana saidia huyo jamaa yako bado maisha ni marefu umsaidiae leo anaweza kuja kuwa maalum katika maisha yako,ikiwa tofauti pokea tu. Binadamu yajayo ni fumbo,tumepita humo tulio wengi

Sent from my CPH2185 using JamiiForums mobile app
 
Ndugu zangu naombeni mnishauri katika hili, nimemaliza chuo bado issue ya ajira nimepanga kachumba kamoja ndo najitafuta hapa kimaisha nabangaiza bangaiza.

Nina rafiki yangu tokea chuoni huko wote tunaishi humuhumu Dar sasa alinambia atakuja maeneo ninayoishi. Huwa anakuja mara kwa mara kutembea huku ila huwa halali yeye anakaa kwa mjomba wake huko

Sasa aliniuliza kama nitakua geto siku ya jana nikamuambia sitokuwepo maana nlikua kwenye mihangaiko yangu leo akanipigia asubuhi akanambia kama nitakuwepo nikamuambia kuwa nitakuwepo basi akasema atapita anisalimie nikamwambia haina noma atanikuta

Ghafla mtu kaja na mabegi akayaweka akasema kuna mahali anaenda mara moja kupeleka mafile fulani hivi, akaenda akarudi ndo akanambia haelewani na mjomba wake leo ameamua kuondoka ili akaanze maisha so ndo kaja kwangu na haijulikani ataondoka lini?

Kilichonishangaza kwanini hakunambia mapema? Mimi maisha bado sana, pia hana kazi wala mishe yoyote, na kanishtukiza kabisa kiukweli binafsi nishaurini nifanyeje maana siwezi kuishi na mtu kabisa kwasasa maana ndo naanza maisha na mimi ni muhanga niliwahi kusapriziwa na rafiki hivyo hivyo akasema anakaa wiki ila akakaaa miezi 3 na hakuna rangi sikuiona

Naombeni ushauri maana akili yangu ni kama haipo sawa nina matatizo kibao kwasasa na nina mizigo mingi ya kimaisha yangu bado ni magumu mno sina ajira nabangaizabangaiza tu

MWENDELEZO:Mimi ni muhanga wa kukaribisha marafiki,nilishawahi mkubalia rafiki yangu akaishi na mimi hakuna rangi sikuiona ndo maana toka kipindi hicho sipendi kuishi kabisa na marafiki napambana tu mwenyewe
Kama unamuonea aibu basi bora tutafute mahali pengine upange Kisha umuache hapo ajishughulikie...
 
Hujui kesho,Kaeni pamoja muweke mikakati ukizingatia wote Hamna kazi,Binafsi nikikaa na mwanangu gheto jobless tukala tunapiga dili za surveys tukipata tunaleta home msosi huku tukifanya application za kazi mbali mbali bahati nzuri nilipata ajira sikutoka pale na tuliendelea kuboresha mazingira ya gheto,nikahama pale lakini nilikua nampamsaada mwanangu sikumtupa,mpaka leo tunasaidiana.Wewe jifanye umepata mfukuze apate kazi mapema na wewe akutupe.
 
kuna watu wamenivamia hapo juu nimeambiwa ninaroho mbaya wakat nimeshauri sawia mtoa mada anaonekana ni mtu wa kujitatftia riziki kwa kipato ambacho kinamtosheleza yeye ndio maana kuja kwa jamaa amepata stress hajui wataishije kama mzigo umeongezeka na kama wangekua wana walioshibana kwashida na raha yasingetokea yan uje na kuondoka then boom kagombana na anko anahamia na mabegi like real?? akimfia humo ndani itakuaje watu wanapenda kupokea mizigo
We unaroho mbaya maisha ni kusaidiana.
 
Ndugu zangu naombeni mnishauri katika hili, nimemaliza chuo bado issue ya ajira nimepanga kachumba kamoja ndo najitafuta hapa kimaisha nabangaiza bangaiza.

Nina rafiki yangu tokea chuoni huko wote tunaishi humuhumu Dar sasa alinambia atakuja maeneo ninayoishi. Huwa anakuja mara kwa mara kutembea huku ila huwa halali yeye anakaa kwa mjomba wake huko

Sasa aliniuliza kama nitakua geto siku ya jana nikamuambia sitokuwepo maana nlikua kwenye mihangaiko yangu leo akanipigia asubuhi akanambia kama nitakuwepo nikamuambia kuwa nitakuwepo basi akasema atapita anisalimie nikamwambia haina noma atanikuta

Ghafla mtu kaja na mabegi akayaweka akasema kuna mahali anaenda mara moja kupeleka mafile fulani hivi, akaenda akarudi ndo akanambia haelewani na mjomba wake leo ameamua kuondoka ili akaanze maisha so ndo kaja kwangu na haijulikani ataondoka lini?

Kilichonishangaza kwanini hakunambia mapema? Mimi maisha bado sana, pia hana kazi wala mishe yoyote, na kanishtukiza kabisa kiukweli binafsi nishaurini nifanyeje maana siwezi kuishi na mtu kabisa kwasasa maana ndo naanza maisha na mimi ni muhanga niliwahi kusapriziwa na rafiki hivyo hivyo akasema anakaa wiki ila akakaaa miezi 3 na hakuna rangi sikuiona

Naombeni ushauri maana akili yangu ni kama haipo sawa nina matatizo kibao kwasasa na nina mizigo mingi ya kimaisha yangu bado ni magumu mno sina ajira nabangaizabangaiza tu

MWENDELEZO:Mimi ni muhanga wa kukaribisha marafiki,nilishawahi mkubalia rafiki yangu akaishi na mimi hakuna rangi sikuiona ndo maana toka kipindi hicho sipendi kuishi kabisa na marafiki napambana tu mwenyewe
Inaonekana rafiki yako anapitia magumu kuliko wewe
 
Back
Top Bottom