Naombeni ushauri, niendelee kufanya kazi au niache?

MICROZ

Member
Dec 10, 2018
70
82
Wapendwa merry Christmas,

Jamani mimi naombeni ushauri maana Kuna jambo limenishinda kulifanyia maamuzi.

Mimi nimeolewa na nina watoto wawili, tumeishi na mume wangu kwa miaka kadhaa, Mme wangu ni mwajiriwa serikalini na mimi nilikua bado sijapata kazi, lakini miezi kadhaa iliyopita nilipata kazi katika kampuni binafsi japo kiukweli wanalipa mshahara kidogo sana.

Sasa nawaza kuacha kazi Ili nibaki tu kuendelea na majukumu ya nyumbani, mme wangu kaniambia niamue mwenyewe, lolote nitakalo amua yeye hana tatizo, ukweli Mme wangu sijawahi kupata tetesi zozote kuhusu kucheat, ni mtu anayejielewa na ni mcha Mungu.

Sababu za mimi kutaka kuacha kazi Moja ni kuwa kwasasa tunaishi mbalimbali, Cha pili kuna kamradi nilikua kakasimamia ila Sasa naona kanayumba coz aliyewekwa Kuna mda anafunga biashara na kwenda kwenye matembezi yake sababu ni kijana.

Jamani ushauri wangu naomba ni Je, ni sahihi kuacha kazi, pia kumbuka take home ya mshahara haizidi laki tatu.

Ahsanteni.
 
Hapa issues ni kamshahara kadg, pia biashara imeyumba sabb ya kukosa usimamizi mzuri na tatu umbali wa familia

Lazima upige hesabu vizuri...

Je ukiacha kazi, utaweza simamia biashara vizuri?

Je hiyo kazi haina manufaa yoyote kwa sasa na baadaye?
 
Wapendwa merry Christmas,

Jamani mimi naombeni ushauri maana Kuna jambo limenishinda kulifanyia maamuzi.

Mimi nimeolewa na nina watoto wawili, tumeishi na mume wangu kwa miaka kadhaa, Mme wangu ni mwajiriwa serikalini na mimi nilikua bado sijapata kazi, lakini miezi kadhaa iliyopita nilipata kazi katika kampuni binafsi japo kiukweli wanalipa mshahara kidogo sana.

Sasa nawaza kuacha kazi Ili nibaki tu kuendelea na majukumu ya nyumbani, mme wangu kaniambia niamue mwenyewe, lolote nitakalo amua yeye hana tatizo, ukweli Mme wangu sijawahi kupata tetesi zozote kuhusu kucheat, ni mtu anayejielewa na ni mcha Mungu.

Sababu za mimi kutaka kuacha kazi Moja ni kuwa kwasasa tunaishi mbalimbali, Cha pili kuna kamradi nilikua kakasimamia ila Sasa naona kanayumba coz aliyewekwa Kuna mda anafunga biashara na kwenda kwenye matembezi yake sababu ni kijana.

Jamani ushauri wangu naomba ni Je, ni sahihi kuacha kazi, pia kumbuka take home ya mshahara haizidi laki tatu.

Ahsanteni.
Kuwa karibu na mume wako ni bora zaidi kuliko sasa ulivyo mbali, Bora kusimamia mradi wa kwenu ukaa vizuri kuliko sasa unavyoyumba. Ukipata kazi nyingine iliyo karibu na mume wako usiache kufanya kama unaona mradi wenu sio mkubwa na unapenda kazi za kuajiriwa.
 
Napata point za msingi kabisa humu za mm kuacha kazi, ahsanten sana, maana nilikua najiona labda ntakua nakosea kuacha kazi
 
Wapendwa merry Christmas,

Jamani mimi naombeni ushauri maana Kuna jambo limenishinda kulifanyia maamuzi.

Mimi nimeolewa na nina watoto wawili, tumeishi na mume wangu kwa miaka kadhaa, Mme wangu ni mwajiriwa serikalini na mimi nilikua bado sijapata kazi, lakini miezi kadhaa iliyopita nilipata kazi katika kampuni binafsi japo kiukweli wanalipa mshahara kidogo sana.

Sasa nawaza kuacha kazi Ili nibaki tu kuendelea na majukumu ya nyumbani, mme wangu kaniambia niamue mwenyewe, lolote nitakalo amua yeye hana tatizo, ukweli Mme wangu sijawahi kupata tetesi zozote kuhusu kucheat, ni mtu anayejielewa na ni mcha Mungu.

Sababu za mimi kutaka kuacha kazi Moja ni kuwa kwasasa tunaishi mbalimbali, Cha pili kuna kamradi nilikua kakasimamia ila Sasa naona kanayumba coz aliyewekwa Kuna mda anafunga biashara na kwenda kwenye matembezi yake sababu ni kijana.

Jamani ushauri wangu naomba ni Je, ni sahihi kuacha kazi, pia kumbuka take home ya mshahara haizidi laki tatu.

Ahsanteni.
Yaan kisa kikazi Cha kampuni, mshahara Mdogo, Unaacha kusimamia kimradi chako ambacho kipo karibu na mumeo, huku biashara, huku ukimpa Mbususu Mumeo.

Shauri yako, sisi wanaume Huwa hatuvumilii .

Endelea kujipa Moyo.


ACHA KAZI HIYO ,RUDI KWA MUMEO.
 
Hutaki kutafuta hela zako , lengo udufue kipato Cha mme wako tu , hata mme wako kukupa option means anataka , usiendelee kuwa Tegemezi Sana kwake ,

Nb:

KUOA NI MCHONGO WA KINYONYAJI ULIOJIKITA KATIKA KUTENGENEZA MAZINGIRA YA "ME" KUTESEKA KUTAFUTA HELA,
HALAFU "KE" AZIDUFUA TU KINDEZINDEZI BILA JASHO!!!
 
Acha kazi kama kipato ni chini ya laki tatu , kasimamie mradi wako jitihada unazo onesha kwenye hiyo kampuni binafsi ukiifanya kwenye kazi yako utakuwa mbali maana kuna saa muda wa kazi zao unakubana na unaweza ukawa na jambo la msingi la kufanya halafu haina security yoyote hiyo kazi
 
Kuwa karibu na mume wako ni bora zaidi kuliko sasa ulivyo mbali, Bora kusimamia mradi wa kwenu ukaa vizuri kuliko sasa unavyoyumba. Ukipata kazi nyingine iliyo karibu na mume wako usiache kufanya kama unaona mradi wenu sio mkubwa na unapenda kazi za kuajiriwa.
Nashukuru kwa ushauri
 
Yaan kisa kikazi Cha kampuni, mshahara Mdogo, Unaacha kusimamia kimradi chako ambacho kipo karibu na mumeo, huku biashara, huku ukimpa Mbususu Mumeo.

Shauri yako, sisi wanaume Huwa hatuvumilii .

Endelea kujipa Moyo.


ACHA KAZI HIYO ,RUDI KWA MUMEO.
Shukrani mkuu
 
Back
Top Bottom