Itifaki ikiwa imezingatiwa, rejea kichwa cha habari.
Ndg zangu ktk jitihada za kupambana huku shambani nakwamishwa na ukosefu wa maji.
Nimejaribu kueasiliana na wachimbaji wa visima virefu, bei zao zinaweza kuzidi urefu wa mlima Kilimanjaro.
Katika kuzuru huku na huku nikakuta sana za kazi: drilling rig zinauzwa soko la Alibaba kwa bei ninayoona naimudu.
Kabla sijajilipua, je zana hizo zina ufanisi?
Nahitaji angalau lita 100k kwa wiki.
Karibuni kwa mawazo
Ndg zangu ktk jitihada za kupambana huku shambani nakwamishwa na ukosefu wa maji.
Nimejaribu kueasiliana na wachimbaji wa visima virefu, bei zao zinaweza kuzidi urefu wa mlima Kilimanjaro.
Katika kuzuru huku na huku nikakuta sana za kazi: drilling rig zinauzwa soko la Alibaba kwa bei ninayoona naimudu.
Kabla sijajilipua, je zana hizo zina ufanisi?
Nahitaji angalau lita 100k kwa wiki.
Karibuni kwa mawazo