crankshaft
JF-Expert Member
- Jun 12, 2019
- 1,410
- 3,376
Nilikuwa napitia theory of evolution kwa mujibu wa Lamark.
Kwa mujibu wa Bwana Lamark wa evolution mazingira yana influence kwenye muonekano wa nje wa kiumbe.
Wakati mazingira yakiwa na influence kwenye Phenotypic change or characteristics hizi characteristics are not genetics so they can't be inherited.
Sasa kama Mungu alimuumba Adamu na Hawa kwa race fulani (pure bleed) let say weupe then hawa weusi wametokea wapi?
Na tukisema ni influence ya mazingiri kuwabadilisha kuwa weusi, hizi tabia haziwezi kurithishwa kwa sababu sio za asili. Je, kwa nini hawa watu wa races tofauti wapo kama wazazi wao walikuwa pure bleed?
Kwa mujibu wa Bwana Lamark wa evolution mazingira yana influence kwenye muonekano wa nje wa kiumbe.
Wakati mazingira yakiwa na influence kwenye Phenotypic change or characteristics hizi characteristics are not genetics so they can't be inherited.
Sasa kama Mungu alimuumba Adamu na Hawa kwa race fulani (pure bleed) let say weupe then hawa weusi wametokea wapi?
Na tukisema ni influence ya mazingiri kuwabadilisha kuwa weusi, hizi tabia haziwezi kurithishwa kwa sababu sio za asili. Je, kwa nini hawa watu wa races tofauti wapo kama wazazi wao walikuwa pure bleed?