ThugMaster
JF-Expert Member
- Aug 24, 2015
- 1,572
- 2,182
Habari za muda! Kuna tangazo la nafasi za kazi za muda tume ya taifa ya uchaguzi.
Naomba kuuliza je ni lazima uwe umesoma fani za IT/ ICT ndiyo unaweza chukuliwa au pia hata kama una uzoefu wa computer na cheti cha short course unaweza pata nafasi.
Mwenye ufahamu au ambae ameshawahi omba hizi nafasi.
Naomba kuuliza je ni lazima uwe umesoma fani za IT/ ICT ndiyo unaweza chukuliwa au pia hata kama una uzoefu wa computer na cheti cha short course unaweza pata nafasi.
Mwenye ufahamu au ambae ameshawahi omba hizi nafasi.