Super human
JF-Expert Member
- Feb 26, 2015
- 1,138
- 732
Natumai wote mko poa,
Kuna jambo nimeobserve kwa wasichana kama watatu hivi naombeni na nyie mchango wenu. Unamtongoza mdada kipindi ambacho yeye ameonyesha sign kua anakupenda na unakuta somehow ni mrembo mwanzoni unakua mpo kawaida, hujaamua kumuonesha una atention nae mnakaa mara anaanza kulalama mara hunijali na nini na nini, sasa ukajiloga ukajionyesha unampenda basi ndo mashauzi mwanzo mwisho mara umpigie asipokee, mara akujibu dry.
Mwisho wa siku unaona isiwe shida unaachana nae, alafu badae kanaanza kujigonga gonga tena ishanitokea kwa wadada wa3 hivi mwingine alilolewa saivi hua anaugua pressure kisa mwanaume anamnyanyasa. Sasa hua nashindwa kutafakari hivi tatzo ni mimi au ni nini? Samahanini kwa maelezo mengi ila naamini mtanisaidia ndugu zangu by now nipo 27 nahis ni muda wa kujpanga nikikaa sawa nioe.
Nipo serious wenye mizaha muiache tu hii post nawaomba
Kuna jambo nimeobserve kwa wasichana kama watatu hivi naombeni na nyie mchango wenu. Unamtongoza mdada kipindi ambacho yeye ameonyesha sign kua anakupenda na unakuta somehow ni mrembo mwanzoni unakua mpo kawaida, hujaamua kumuonesha una atention nae mnakaa mara anaanza kulalama mara hunijali na nini na nini, sasa ukajiloga ukajionyesha unampenda basi ndo mashauzi mwanzo mwisho mara umpigie asipokee, mara akujibu dry.
Mwisho wa siku unaona isiwe shida unaachana nae, alafu badae kanaanza kujigonga gonga tena ishanitokea kwa wadada wa3 hivi mwingine alilolewa saivi hua anaugua pressure kisa mwanaume anamnyanyasa. Sasa hua nashindwa kutafakari hivi tatzo ni mimi au ni nini? Samahanini kwa maelezo mengi ila naamini mtanisaidia ndugu zangu by now nipo 27 nahis ni muda wa kujpanga nikikaa sawa nioe.
Nipo serious wenye mizaha muiache tu hii post nawaomba