KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,578
- 8,600
Nachukua nafasi hii kutoa shukurani zangu za dhati kwa MOD's na JF Member wote kama ifuatavyo:-
- Mod's Nawashukuru kwajinsi mlivyoweza kuendesha mtandao wakijamii bila kuchoka na wala bila kutuchoka kutokana nawengiwetu tuliweza kutoa lugha zisizostaili na thread zenye maudhi na kwakuwa sisi hatuwezi kujua itikadi yenu ni hipi Kichama,Kiuchumi na Kidini lakini yote mliyavumilia Asanteni na kwakuzingatia kazi ya IT au Computer Sciance ningumu nainaushindani mwingi lakini hamkuteteleka kwani ukizingatia inatakiwa kila mara unaweka kinga kwenye mtandao wako nazaidi kila chema kina wapinzani!!Ongereni kwahilo, nazaidi nipale mlipokuwa na tatizo lakiufundi mlitujulisha!!Japo Mlikataa kata kuturudishia chat room kwa kisingizio chakuboresha japo hamkutwambia nini mnaboresha labda mlitaka kuweka live video chat tunangoje!!Nawashukuru sana nawatakia heri ya Mwaka mpya!!!
- JF Member Nawashukuru sana kwa michango yenu mizuri iliyonifanya niwena uelewa kilasiku kutokana na mjukwaa mbali mbali,Nilifurahi kila mara haikupita saa mimi bila kuwa kwenye jf nawatu wengine walinishangaa kwani nilikuta thread tamu unabaki unacheka tena kicheko changuvu chafanya watu wageuke nakuuliza kulikoni!!Nazaidi nilipokuwa baa nilitoa simu yangu nakuperuzi!Nilibaki nafuraha mda wote!Nawakati mwingine nikiwa kwangu nilibaki pekeyangu wengine wamelala lakini mimi nipo katika JF!!kama sikuridhika naenda kitandani na simu naendelea nakuperuzi JF nilipitiwa usingizi nakuta nimeconnect online pesa inaliwa lakini sikuona uchungu the way i love JF Wana Jamii wenzangu na washukuru kwa michango yenu iliyokuwa na mafundisho kwangu na uelewa mpana!Nawashukuru wote nawale nilio bahatika kukutana nao nasema tuendeleze udugu asanteni, lakini nikiacha bila kuwataja hawa nitakuwa sijawatendea haki japo niwengi nasema nawapenda wote!
- Preta
- Acid
- Fastlady1
- Mzee wa Kijiji
- Bujbuji
- Rev Masanilo
- Afrondez
- The finest
- Darkcity
- Rutashubanyuma
- Rose1980
- BHT
- Gaijin
- Boflo
- Nilham Rashid
- Ndege ya Uchumi
- Katerero
- Kaka Jambazi
- Paka mweusi
- PJ
- Big Mama
- Da Sophy
- Ms
- Dar eSalaam
- Kibweka
- Mtego wa noti
- Mokoyo
- DJ Babu
Nilio wasahau nikwa bahati mbaya msinifikirie vibaya wote nisawa humu JF nawatakia Heri ya mwaka mpya wenye mafanikio mema na ninawaomba samahani kwanjia moja au nyingine niliotofautiana nao!