Assalamu alaykum.
Kwa waislamu wanaoweza kutoa msaada wa tende ili tutoe kwa waislamu wenzetu wa wilaya ya Rufiji, kuanzia jaribu mpakani, Bungu, Kibiti, Ikwiriri, Nyamwage, Chumbe mpaka Muhoro. na huku kuelekea mpaka nyamisati na salali, mpombwe, bila kusahau mkongo, kilimani, kipo ,mwaseni mpaka Nyaminywili.
Huko hali mbaya sana.
Tunaomba msaada.
Kwa waislamu wanaoweza kutoa msaada wa tende ili tutoe kwa waislamu wenzetu wa wilaya ya Rufiji, kuanzia jaribu mpakani, Bungu, Kibiti, Ikwiriri, Nyamwage, Chumbe mpaka Muhoro. na huku kuelekea mpaka nyamisati na salali, mpombwe, bila kusahau mkongo, kilimani, kipo ,mwaseni mpaka Nyaminywili.
Huko hali mbaya sana.
Tunaomba msaada.