Habari za usiku huu ndugu zangu!
Mimi ni mdada ambae maisha yangu yote natamani kuwa mjasiriamali ila sina idea ya biashara wala mtaji .
Kushindwa kutimiza ndoto zangu kunaniumiza sana .
Naomba msaada wenu.
Habari za usiku huu ndugu zangu!
Mimi ni mdada ambae maisha yangu yote natamani kuwa mjasiriamali ila sina idea ya biashara wala mtaji .
Kushindwa kutimiza ndoto zangu kunaniumiza sana .
Naomba msaada wenu.
Habari za usiku huu ndugu zangu!
Mimi ni mdada ambae maisha yangu yote natamani kuwa mjasiriamali ila sina idea ya biashara wala mtaji .
Kushindwa kutimiza ndoto zangu kunaniumiza sana .
Naomba msaada wenu.
Habari za usiku huu ndugu zangu!
Mimi ni mdada ambae maisha yangu yote natamani kuwa mjasiriamali ila sina idea ya biashara wala mtaji .
Kushindwa kutimiza ndoto zangu kunaniumiza sana .
Naomba msaada wenu.
ni - pm
maswitule na Joypeace, ni kweli siwalaumu najua ningumu kunielewa ila ndo hivo sina sababu ya kuficha tatizo langu.
Habari za usiku huu ndugu zangu!
Mimi ni mdada ambae maisha yangu yote natamani kuwa mjasiriamali ila sina idea ya biashara wala mtaji .
Kushindwa kutimiza ndoto zangu kunaniumiza sana .
Naomba msaada wenu.
if you are serious,
nicheki 0656 560 264 tuwe business partners ujifunze ideas toka kwangu na kwingineko, ila zinataka moyo sio lelema ila ukishaweka tengeneza channel sasa unaanza kuinjoi kwa raha zako,
karibu sana!!
Thedealer
Habari mdada hongera kwa kutaka kuwa mjasiriamali ingawaje sijakuelewa unamaanisha nini unataka au ulikuwa unataka? ila acha nikushauri kidogo kuna watu wanajishughulisha na kuwapa utaalamu, yani masomo watu wanaotaka kuwa wajasiriamali, silkiliza sana redio praise power siku za j3 mpaka jmosi wanatoa dondoo za ujasiriamali ukisikiliza zitakubadilisha na kuwa vile utakavyo, au nenda kwenye warsha za ujasiriamali zitakusaidia nawe utatoka tu, ama kwa wale waliokushauri kusoma hizo link walizotoa we zisome usichoke kwani mjasiliamali huwaga hachoki ni mtu anayejifunza kila wakati, mm ni mjasiriamali nilikuwa na idea kisha nikafuata maelekezo ya waatalamu na sasa namshukuru Mungu niko hatua ingine kidogo na kila wakati najifunza vitu vipya vinavyotokea kwangu, hivyo usikate tamaa ipo siku utakuwa vile utakavyo, TAMANI KUJIFUNZA VIPYA
nimeipenda sana
Hapo utamufungua macho huyo kama kweli yuko serious na ujasiriamali