Iam_hillary
New Member
- Apr 4, 2022
- 1
- 2
Hello JF, naitwa Hillary Ni mgeni humu kwa heshima na taadhima naomba mnipokee.
Na kweli.Umekuja asubuhi asubuhi hata hatujaamka kwanini? Anyway karibu weka picha tukufahamu
lalekiKaribu Jf Mkuu
Tuone picha yako my
laleki
sijapendatulia we baba
sijapenda
kidogo tu ushamuita my mhHujapenda nini Kenzy?
kidogo tu ushamuita my mh
unatafuta mume kwanijamani
unatafuta mume kwani
asalaleee Sasa nini chakusumbuaHapana my
Karibu mjengoniHello JF, naitwa Hillary Ni mgeni humu kwa heshima na taadhima naomba mnipokee.