MARCKO
JF-Expert Member
- Jun 10, 2011
- 2,258
- 274
Cjawah kupima HIV, Sasa nimempata mpenzi tulioishi nae kwa mwaka m-1. Falsafa yangu kuusu swala zima la afya ni kwamba cjapanga kupima HIV japo cyo tiketi ya mimi kuwa malaya wala cjawahi kupima. Sasa ananiambia tupime kwanza ndo tuoane. SWALI. Je, hii umaanisha kwamba hajanipenda bado na kutokua na HIV0 ndo kigezo cha yeye kunipenda? Mbona mimi nlizani mapenzi ya kweli hayana vigezo! Kwahiyo ukimpenda mtu umependa kilakitu kwanzia aongeavyo mpaka damu yake bila kujali kama ana HIV au la. Eti tucpopima ananiacha! Kweli kanipenda?