Sare ilivyo , ni ngumu kuonekana wakiwa vitaniWakuu Habarini Za Majukumu! Naombeni Mnijuze Kuhusu Sare Za Majeshi Ya Ulinzi Wa Mipaka Ya Nchi (Defence Forces) Kwanini Sare Za Nchi Zote Zina fanana (Mabaka-baka) Au Ni Moja Ya Sheria Za Umoja Wa Mataifa?
Wakuu Naombeni Elimu Hiyo.
Asante.