naskia watu wameishaanza na kazi kabisa......
Mnaulizia Bima ya Afya i.e NHIF? Pale kama huna wa kukushika mkono umekwisha! Mliofanya hiyo Interview mmefanywa migongo ya kupandia wengine.
Silly Watanzania tumekua watu wa kulaumu kila kitu,bila kuwa na tangible evidence!
Pole sana. Najua ni miongoni mwa mliobebwa hapo NHIF!
Strange watanzania eti huwa anajiita great thinker really????