my own
Senior Member
- Oct 15, 2018
- 129
- 267
Asante mkuuPole sana
Asante mkuuPole sana
Asantee..Pole sana. Usiombe uwe na vidonda vya ulimi.
Niliteseka sana kipindi ninavyo. Nilipona kwa kutumia vitamin C.
Unaweza kuta hizo vidonda zina maambukizi ya bakteria.Mtego tena mkuu
Inaonesha upungufy wa vitamin na stress vinasababisha vidonda vya mdomoni.Na kwa watoto inatokana na nini?
Pole sanaInaonesha upungufy wa vitamin na stress vinasababisha vidonda vya mdomoni.
Ila kwa upande wangu huwa nakula sana matunda ila bado vinatokea, baada ya kujitathimin muda huo nakua na stress.
Asante kwa ushauriMatunda + mboga za majan kwa wingi hautajuta Hali ikizid tumia vitamin B COMPLEX
Nimekuelewa mkuuUnaweza kuta hizo vidonda zina maambukizi ya bakteria.
Na panapokuwa pana maambukizi, mwili unazalisha kinga automatically.
Unaweza kwenda kupima ukaambiwa una VVU kumbe ni zile Kinga za mwili ndo zinazoonekana kwenye kipimo.
Ni udanganyifu wa kisayansi. Ukianza kula ARV ndo utajimaliza kabisa
cc Deception
Sawa mkuu nitaichekStrepsils....... Hebu cheki hii kwenye mapharmacy......
Ilishawahi nitoa tutani....
Acha kuzama chumvini, meza Fluconazole 1x1 kwa siku 14Habari wana jf,
Naomba msaada wa dawa ya kutibu vidonda vimejitokeza kwenye ulimi kwa sasa vina wiki 3 nimetumia dawa ya amplicox nikapata nafuu ila vikarudi tena, vinauma sana ukinywa chai au kitu cha moto hasa asubuhi.
Sizami chumvini mzeeAcha kuzama chumvini, meza Fluconazole 1x1 kwa siku 14
Basi meza hizo inshallah utapata wepesi, wakati unameza hiyo sukutua/gaugle hydrogen peroxide 3%Sizami chumvini mzee
Asanteni woote kwa ushauri wenu tatizo limeisha kwa kutumia dawa ya vitamin B complex pamoja na kula machungwa kwa wingiHabari wana jf,
Naomba msaada wa dawa ya kutibu vidonda vimejitokeza kwenye ulimi kwa sasa vina wiki 3 nimetumia dawa ya amplicox nikapata nafuu ila vikarudi tena, vinauma sana ukinywa chai au kitu cha moto hasa asubuhi.