Twaps
Member
- May 26, 2011
- 50
- 28
Kwenu wana JF,
Nimekua nikitokwa na vipele kama vijipu uchungu kwenye mapaja yangu kwa musimu,yani kinaweza kutokea kipele kimoja au viwili,kikitokea eneo lilipokizunguka panakua pekundu baada ya muda kinapotea kinaacha alama nyeusi,Ninaweza kukaa muda mrefu bila kupata ila ni tatizo linalojirudiarudia.
Kinachonikera zaidi ni hizo alama nyeusi zinazobakia kwenye paja baada ya kipele kutoweka.
Swali langu:
Je hii ni allergy au ugonjwa gani??
Nitumie dawa gani kujitibu??
Nitumie nini kuondoa madoa hayo coz yananikera sana?
Nilishaenda hospital nikapewa cream ya kupaka getrisone cream lakini tatizo linajirudia.
NAHITAJI MSAADA
Nimekua nikitokwa na vipele kama vijipu uchungu kwenye mapaja yangu kwa musimu,yani kinaweza kutokea kipele kimoja au viwili,kikitokea eneo lilipokizunguka panakua pekundu baada ya muda kinapotea kinaacha alama nyeusi,Ninaweza kukaa muda mrefu bila kupata ila ni tatizo linalojirudiarudia.
Kinachonikera zaidi ni hizo alama nyeusi zinazobakia kwenye paja baada ya kipele kutoweka.
Swali langu:
Je hii ni allergy au ugonjwa gani??
Nitumie dawa gani kujitibu??
Nitumie nini kuondoa madoa hayo coz yananikera sana?
Nilishaenda hospital nikapewa cream ya kupaka getrisone cream lakini tatizo linajirudia.
NAHITAJI MSAADA