Kuondoa sumu mwiliniWatalamu habar zenu
Naomba kujuzwa ni faida gani anapata Mtu anayekwenda sauna
Je iyo sauna haina madhara kiafya?
Kwa jiji la Dar izo sauna zinapatikana wapi?
Njoo nikupeleke...Make google your friend bro!
Inaonyesha iko bomba sana,, nikiwa mkubwa na mimi nitaenda sauna
View attachment 2316823