mashaka sambo
Member
- Apr 14, 2015
- 6
- 1
Naombeni mwenye kujua bei ya mashine ya max malipo anisaidie niijue, lakini pia nahitaji kujua Kama nikiinunua hiyo mashine itakuwa imeshaunganishwa na huduma mbalimbali Kama tigo pesa, Airtel money, malipo ya umeme, ving'amuzi na huduma nyingine, au napaswa kuunganisha mwenyewe?