IzeGREAT
Member
- Jan 15, 2009
- 61
- 21
..Kwa muda mrefu nimekuwa nikiskia uvumi ya kwamba wanafunzi wa MD wanaosoma UDSM ni bora na wako njema zaidi katika field ukilinganisha na Tanzanians-Russian MD graduates,sina ushahidi wa kutosha mimi binafsi sabu sijawahi kukutana na Daktari yeyote wa Tz akaniambia hivyo uso kwa uso,ila nimeamua kuuliza swali hili kwa wenye dataz na infoz wanijulishe baada ya rafiki yangu mmoja kunihakikishia kuwa yeye alishatamkiwa hivyo alipokuwa akipiga INTERN-TEMEKE HOSPITAL(..na huyu denti ni division ONE KUTOKA SPECIAL SCHOOL KABLA HAZIJAFUTWA..),ila cha kunishangaza na ambacho sikielewi ni kwamba kwanini Tz ilisomesha na inaendelea kusomesha MADAKTARI wengi sana RUSSIA..??
Kama kuna ukweli wowote juu ya hilo,naomba mnisaidie kunipatia
1) Sababu za Tz-Russian MD graduates kupafom poor kazini.
2) Sababu za nini kifanyike kwa waliosoma MD-Russia kuongeza quality yao kiutendaji.
3) Sababu za Tz-government kuendelea kupeleka MD-students Russia.
4) Concrete dataz zinzoonesha Tz inawazidi vipi Urusi katika fani ya elimu ya Udaktari.
Kama ni uongo na uvumi tu,ni nani alianzisha kiasi hii dhana iwepo kwa Tz-MD wengi mpaka leo???
Kama kuna ukweli wowote juu ya hilo,naomba mnisaidie kunipatia
1) Sababu za Tz-Russian MD graduates kupafom poor kazini.
2) Sababu za nini kifanyike kwa waliosoma MD-Russia kuongeza quality yao kiutendaji.
3) Sababu za Tz-government kuendelea kupeleka MD-students Russia.
4) Concrete dataz zinzoonesha Tz inawazidi vipi Urusi katika fani ya elimu ya Udaktari.
Kama ni uongo na uvumi tu,ni nani alianzisha kiasi hii dhana iwepo kwa Tz-MD wengi mpaka leo???