...naomba kufahamu kuhusu rank na ubora kati ya medicine ya tanzania na urusi...

IzeGREAT

Member
Jan 15, 2009
61
21
..Kwa muda mrefu nimekuwa nikiskia uvumi ya kwamba wanafunzi wa MD wanaosoma UDSM ni bora na wako njema zaidi katika field ukilinganisha na Tanzanians-Russian MD graduates,sina ushahidi wa kutosha mimi binafsi sabu sijawahi kukutana na Daktari yeyote wa Tz akaniambia hivyo uso kwa uso,ila nimeamua kuuliza swali hili kwa wenye dataz na infoz wanijulishe baada ya rafiki yangu mmoja kunihakikishia kuwa yeye alishatamkiwa hivyo alipokuwa akipiga INTERN-TEMEKE HOSPITAL(..na huyu denti ni division ONE KUTOKA SPECIAL SCHOOL KABLA HAZIJAFUTWA..),ila cha kunishangaza na ambacho sikielewi ni kwamba kwanini Tz ilisomesha na inaendelea kusomesha MADAKTARI wengi sana RUSSIA..??

Kama kuna ukweli wowote juu ya hilo,naomba mnisaidie kunipatia
1) Sababu za Tz-Russian MD graduates kupafom poor kazini.
2) Sababu za nini kifanyike kwa waliosoma MD-Russia kuongeza quality yao kiutendaji.
3) Sababu za Tz-government kuendelea kupeleka MD-students Russia.
4) Concrete dataz zinzoonesha Tz inawazidi vipi Urusi katika fani ya elimu ya Udaktari.

Kama ni uongo na uvumi tu,ni nani alianzisha kiasi hii dhana iwepo kwa Tz-MD wengi mpaka leo???
 
..Kwa muda mrefu nimekuwa nikiskia uvumi ya kwamba wanafunzi wa MD wanaosoma UDSM ni bora na wako njema zaidi katika field ukilinganisha na Tanzanians-Russian MD graduates,sina ushahidi wa kutosha mimi binafsi sabu sijawahi kukutana na Daktari yeyote wa Tz akaniambia hivyo uso kwa uso,ila nimeamua kuuliza swali hili kwa wenye dataz na infoz wanijulishe baada ya rafiki yangu mmoja kunihakikishia kuwa yeye alishatamkiwa hivyo alipokuwa akipiga INTERN-TEMEKE HOSPITAL(..na huyu denti ni division ONE KUTOKA SPECIAL SCHOOL KABLA HAZIJAFUTWA..),ila cha kunishangaza na ambacho sikielewi ni kwamba kwanini Tz ilisomesha na inaendelea kusomesha MADAKTARI wengi sana RUSSIA..??

Kama kuna ukweli wowote juu ya hilo,naomba mnisaidie kunipatia
1) Sababu za Tz-Russian MD graduates kupafom poor kazini.
2) Sababu za nini kifanyike kwa waliosoma MD-Russia kuongeza quality yao kiutendaji
3) Sababu za Tz-government kuendelea kupeleka MD-students Russia.
4) Concrete dataz zinzoonesha Tz inawazidi vipi Urusi katika fani ya elimu ya Udaktari.

Kama ni uongo na uvumi tu,ni nani alianzisha kiasi hii dhana iwepo kwa Tz-MD wengi mpaka leo???

tumia logic ya kawaida tu kuwa
1 Rusia ni taifa lililoendelea kuliko sisi, kiuchumi na taaluma kaw hiyo si rahisi kutoa taaluma mbovu.
2 tafuta ushahidi kama kweli wanaperform vibaya makazini kinyume cha hapo itaendelea kuwa ni uvumi kama uulivyodokeza awali.
3.Sababu ni wako juu kitaaluma na low cost effective ukicompare na mataifa mengi yaliyoendelea.
4. hakuna kitu kama hicho.
Ni trend ya kawaida ya Watanzania (wanataaluma na mbumbumbu) kufanya uvumi kwa muda mrefu na baadaye wao wenyewe kuanaz kuuamini hadi kufikia pahala wakasahau kuwa wao ndio waanzilishi wa uvumi huo
 
Tatizo nililosikia kwa wadau waliosoma MD Russia na China sina uhakika kama na India pia kuwa wenyewe huwa hawaruhusiwi kumtibu mgonjwa moja kwa moja kwenye masomo yao bali huwa wanabakia kuwa observers tu,nadhani hilo kwa namna fulani linawaathiri kiutendaji wanaporudi bongo kufanya kazi!Lakini sina doubt na quality ya elimu inayotolewa na nchi hizo!!Ngoja tusubiri wadau watupe data zaidi!!
 
Huu ni uvumi tu,na kutaka kikitetea kitu cha nyumbani ila hatuwezi kulinganisha graduate wa MD wa tz na Russia hata kidogo,kwanza wako juu kwa medical equipment, teaching materials na research.bongo hapa hukawii kusikia mara kipimo hiki kimekufa mara kile yani sisi bado ndugu yangu,kwa hali ya kielimu kwa mataifa yaliyoendelea ipo juu sana
 
...kwahilo nakubaliana nalo,sabu mi pia sipo Tz,nchi karibu nyingi zilizoendelea,iwe EUROPE,USA,RUSSIA,etc kwa mwanafunzi wa Degree kupewa mgonjwa wa kumtibu ni imposible,ila kinachofanyika ni kupewa mgonjwa ambaye utatakiwa kutoa ripoti yake inform of CASE HISTORY,yenye ful stori ya mgonjwa wako(i.e up to DIAGNOSIS NA TREATMENT PLAN YAKO),siku ya pepa utaidifendi,hii ni kwasababu wenzetu wana Madaktari wengi nazani,na hii si kwa wageni tu,hata native students mnasapitia same things...
Tatizo nililosikia kwa wadau waliosoma MD Russia na China sina uhakika kama na India pia kuwa wenyewe huwa hawaruhusiwi kumtibu mgonjwa moja kwa moja kwenye masomo yao bali huwa wanabakia kuwa observers tu,nadhani hilo kwa namna fulani linawaathiri kiutendaji wanaporudi bongo kufanya kazi!Lakini sina doubt na quality ya elimu inayotolewa na nchi hizo!!Ngoja tusubiri wadau watupe data zaidi!!
 
...Mkuu 124 ali,thnx4ur gud explantions,nilijaribu ku2mia logic kama ulivosema,ila kichwa kikaishia kuniuma sabu mpaka sasa sipati uwiano wa ukweli huo kama utakuwepo,labda kama kuna graduates halisi wanaopractice Tz frm Russian-MD skulz wata2patia ukweli zaidi wa mambo ulivyo..
tumia logic ya kawaida tu kuwa
1 Rusia ni taifa lililoendelea kuliko sisi, kiuchumi na taaluma kaw hiyo si rahisi kutoa taaluma mbovu.
2 tafuta ushahidi kama kweli wanaperform vibaya makazini kinyume cha hapo itaendelea kuwa ni uvumi kama uulivyodokeza awali.
3.Sababu ni wako juu kitaaluma na low cost effective ukicompare na mataifa mengi yaliyoendelea.
4. hakuna kitu kama hicho.
Ni trend ya kawaida ya Watanzania (wanataaluma na mbumbumbu) kufanya uvumi kwa muda mrefu na baadaye wao wenyewe kuanaz kuuamini hadi kufikia pahala wakasahau kuwa wao ndio waanzilishi wa uvumi huo
 
wanafunzi wanaotoka nje wengi hawako patient oriented kwa sababu ya sera za huko. Wana shule vichwani ila kuitranslate na kitu anachokiona inakuwa ishu. Wengi hawahusiki kwenye simpo procedures sasa wakija huku wewe ndo wewe na mgonjwa ko ndo hapo wabongo tunawapiga bao kwani tulishaanza kujifunzia wagonjwa toka fourth year. Pia kuna magonjwa huku ni common huko hayapo na guidelines za treatment ni tofauti. Kama unatoka nje fanyia intern mnh ili ubadilike from sophisticated to manual zaidi. Huko kwingine utaumia sana mpaka utakapozea siyo leo. Otherwise shule ni ile ile na brain zetu ni zile zile za sengerema
 
nadhan huu ni uzushi usio na kichwa wala miguu huwezi linganisha taaluma ya urusi na nchi yoyote ile afrika wako juu sana ni ule uvumi kama eti degree ya pass mlimani ni sawa na first class ya mzumbe au chuo kingine, nadhan ndio umetufikisha hapa tulipo, kuhusu eti hawaruhusiwi kutibu wagonjwa so hawana experience kwenye field pia ni uzushi kwani sio kila mwanafunzi anatibu tu mgonjwa hata hapa kwetu si hivyo kuna stage then eventually utatibu mgonjwa kamili ndio baadae ugraduate!
 
nadhan huu ni uzushi usio na kichwa wala miguu huwezi linganisha taaluma ya urusi na nchi yoyote ile afrika wako juu sana ni ule uvumi kama eti degree ya pass mlimani ni sawa na first class ya mzumbe au chuo kingine, nadhan ndio umetufikisha hapa tulipo, kuhusu eti hawaruhusiwi kutibu wagonjwa so hawana experience kwenye field pia ni uzushi kwani sio kila mwanafunzi anatibu tu mgonjwa hata hapa kwetu si hivyo kuna stage then eventually utatibu mgonjwa kamili ndio baadae ugraduate![/QUOT sio kwamba medicine ya bongo ni bora kuliko ya russia,tunaongelea patient oriented medicine. Kwa wenzetu wako sophisticated sana na huku ni manual zaidi. Mtu anakuwa anajua kila kitu lakini anahitaji uzoefu wa muda kidogo ili akope na things done here ambavyo kule havipo. Kuna intern huwa wanakuja kuweka cannula anajua procedure ila hajawai kuweka wakati huku hiyo ni kazi ya md4 na 5. Pia kuna magonjwa kama malaria,tb, hiv associated complications management yake ni tofauti na huku. Sasa hospital kama tmk,mby lazima upate shida kwani wanahitaji watu ambao tayari wanajua kufanya vitu kule wanawapa uzoefu tu! Hayo mambo yenu ya udsm na idm mnajuana wenyewe.
 
..Kwa muda mrefu nimekuwa nikiskia uvumi ya kwamba wanafunzi wa MD wanaosoma UDSM ni bora na wako njema zaidi katika field ukilinganisha na Tanzanians-Russian MD graduates,sina ushahidi wa kutosha mimi binafsi sabu sijawahi kukutana na Daktari yeyote wa Tz akaniambia hivyo uso kwa uso,ila nimeamua kuuliza swali hili kwa wenye dataz na infoz wanijulishe baada ya rafiki yangu mmoja kunihakikishia kuwa yeye alishatamkiwa hivyo alipokuwa akipiga INTERN-TEMEKE HOSPITAL(..na huyu denti ni division ONE KUTOKA SPECIAL SCHOOL KABLA HAZIJAFUTWA..),ila cha kunishangaza na ambacho sikielewi ni kwamba kwanini Tz ilisomesha na inaendelea kusomesha MADAKTARI wengi sana RUSSIA..??

Kama kuna ukweli wowote juu ya hilo,naomba mnisaidie kunipatia
1) Sababu za Tz-Russian MD graduates kupafom poor kazini.
2) Sababu za nini kifanyike kwa waliosoma MD-Russia kuongeza quality yao kiutendaji.
3) Sababu za Tz-government kuendelea kupeleka MD-students Russia.
4) Concrete dataz zinzoonesha Tz inawazidi vipi Urusi katika fani ya elimu ya Udaktari.


Kama ni uongo na uvumi tu,ni nani alianzisha kiasi hii dhana iwepo kwa Tz-MD wengi mpaka leo???

Moscow Medical Academy (MMA)
MMA is the oldest and largest medical higher educational institution in the Russian Federation. It is also rated highly in the international league table, achieved second place amng the best medical universities in the world, according to the international rating by the UNESCO and World Health Organization (WHO). There are about 9,000 students from Russia and overseas study at the Academy every year. It offers the following educational programs:
  • Doctor of Medicine
  • Master of Pharmacy
  • Doctor of Stomatology
 
Nafikiri kuwa Dr. mzuri ni swala la kuutumia muda wako katika mazingira uliyopo,NI VIZURI KUJUA FUTURE YAKO.

Anywhere,if ure a smart student pssibly u will be a good Dr.If ure smart ur profs will trust u and u can do wonders,mbona kuna wanafunzi wanafanya operation Cuba?,ambapo asilimia kubwa ya wananchi ni madr.?

THINK POSITIVELY AND ACHIEVE THE BEST .
 
Huu ni uvumi tu,na kutaka kikitetea kitu cha nyumbani ila hatuwezi kulinganisha graduate wa MD wa tz na Russia hata kidogo,kwanza wako juu kwa medical equipment, teaching materials na research.bongo hapa hukawii kusikia mara kipimo hiki kimekufa mara kile yani sisi bado ndugu yangu,kwa hali ya kielimu kwa mataifa yaliyoendelea ipo juu sana

sio uvumi mkuu, hao jamaa waliosoma urusi ni wabovu sana nafkr kwa sababu ya exposure.
 
sio uvumi mkuu, hao jamaa waliosoma urusi ni wabovu sana nafkr kwa sababu ya exposure.
kamwe huwezi kulinganisha ubora wa elimu ya Russia na nchi masikini kama yetu.Kwa mtu mwenye akili timamu asingeuliza hata swali kuhusu ubora wa wahitimu wetu wa mfumo wetu na wale wa nje.Ndio yale yale ya kulinganisha ubora wa elimu na ugumu wa elimu...elimu yetu ni mbovu ndio maana wasomi wabovu-madaktari,wanasheria,wanauchumi,walimu.
 
urusi wapo deep sana , huwezi kuwafananisha na wabongo. Unataka kufananisha mavifaa waliyonayo warui kwenye hospital zao na hospital za mbeye na temeke? Its just a simple logic .
 
Tanzania kwa kupenda comedy hatujambo!Hata kwenye suala ambalo the facts speaks for themselves tunaleta uswahili na porojo.
Utalinganisha Urussi na Tanzania?Tunatumia vitabu vya hao tunaosema tunawazidi uwezo,kama tunawazidi uwezo kwani tusitumie vitabu tulivyotunga wenyewe vyenye ubora wetu?
Hoja kwamba wao wanakosa exposure ni kitoto sana na siamini kama mtu aliyevuka kidato cha nne anaweza kuitoa.Wenzetu wako mbele kwenye Research and development ndio maana pamoja na kwamba hawasumbuliwi sana na malaria na UKimwi bado wanaongoza vita ya kutafuta kinga na tiba ya magonjwa hayo
Ndio yale yale ya kusema elimu yetu ni bora kuliko ya Uganda,Kenya na hata India ilhali tunatumia vitabu vyao huku vyetu vikiona ni takataka za kukariri maswali ya NECTA!
 
...nawapata fresh wakuu lonestricker@Salanga@i pad3@MkamaP for ur positivity,and also Navy SEAL thnx4ze chalange and speaking ur mind,We ar here to find ze truth and try2build for ze better of our Tz....
 
Last edited by a moderator:
Tatizo nililosikia kwa wadau waliosoma MD Russia na China sina uhakika kama na India pia kuwa wenyewe huwa hawaruhusiwi kumtibu mgonjwa moja kwa moja kwenye masomo yao bali huwa wanabakia kuwa observers tu,nadhani hilo kwa namna fulani linawaathiri kiutendaji wanaporudi bongo kufanya kazi!Lakini sina doubt na quality ya elimu inayotolewa na nchi hizo!!Ngoja tusubiri wadau watupe data zaidi!!

Russia na India sijui, ila China hand on zinaanza mwaka wa tatu na walio kwenye internship wanatibu wagonjwa moja kwa moja. pia kuna technologia ya hali ya juu, dawa za uhakika, vitendea kazi vipo wakati wote na madaktari wa kule ambao ndio wana wafundisha na kuwa supervise wanafunzi ni wazuri tu, watu hawafi hovyo hovyo mahospitalini kwa magonjwa ya kipuuzi kama kwetu.

kwa mtazamo wangu hatuwezi kusema daktari au mwanafunzi wa udaktari anayefanya kazi/kujifunza katika mazingira magumu yenye uhaba wa madaktari, dawa, vitanda, technolojia za kisasa etc ni bora kuliko yule aliye na hivyo vyote.
 
ukweli unabaki hivi kuwa dakitali aliyesoma urusi amefundishwa vizuri sana vitendea kazi vinapatikana bila shaka wala wasiwasa si hapa nchini hamna hata teaching hospital hata moja then mseme kuwa wa hapa ni bola ilihali ukimuuliza kama amewahi kuona IMRI NA NI GRADUATE ATAKUMBIA HAKUWAHI WENZETU AT THE BEGINING WANAJUA KWA HIYO BADO TUKO NYUMA VITENDEA KAZI SHIDA KINCHOZUNGUMZWA HAPA LABDA PRACTICES AMBAZO WABONGO WANAJISHUGHULISHA NAZO HATA KAMA HAWAJUI KWANI WENZETU MWANAFUNZI HARUHUSIWI KUGUSA MGONJWA HADI AMALIZE MASOMO YAKE
 
..Kwa muda mrefu nimekuwa nikiskia uvumi ya kwamba wanafunzi wa MD wanaosoma UDSM ni bora na wako njema zaidi katika field ukilinganisha na Tanzanians-Russian MD graduates,sina ushahidi wa kutosha mimi binafsi sabu sijawahi kukutana na Daktari yeyote wa Tz akaniambia hivyo uso kwa uso,ila nimeamua kuuliza swali hili kwa wenye dataz na infoz wanijulishe baada ya rafiki yangu mmoja kunihakikishia kuwa yeye alishatamkiwa hivyo alipokuwa akipiga INTERN-TEMEKE HOSPITAL(..na huyu denti ni division ONE KUTOKA SPECIAL SCHOOL KABLA HAZIJAFUTWA..),ila cha kunishangaza na ambacho sikielewi ni kwamba kwanini Tz ilisomesha na inaendelea kusomesha MADAKTARI wengi sana RUSSIA..??

Kama kuna ukweli wowote juu ya hilo,naomba mnisaidie kunipatia
1) Sababu za Tz-Russian MD graduates kupafom poor kazini.
2) Sababu za nini kifanyike kwa waliosoma MD-Russia kuongeza quality yao kiutendaji.
3) Sababu za Tz-government kuendelea kupeleka MD-students Russia.
4) Concrete dataz zinzoonesha Tz inawazidi vipi Urusi katika fani ya elimu ya Udaktari.

Kama ni uongo na uvumi tu,ni nani alianzisha kiasi hii dhana iwepo kwa Tz-MD wengi mpaka leo???

Jamani swala ni effectiveness na outcome/impact kazini KATIKA MAZINGIRA HUSIKA(YETU YA TANZANIA) ya wahitimu wa russia vs wahitumu wa tz, Among the factors ni practice, Instuments /tools/equipments, level of technology used, regulations, culture etc, maslahi n.k. nadhani yawezekana kabisa tz MD wakienda Russia ku-practice wasi deliver efficiently like wise Russia MD wanapokuja Ku-practice hapa TZ hawataweza kuwafikia wezio waliopo hapa kuanzia kusoma, internship, n.k Kwa fikira zangu Yawekana ni ukweli na sio UVUMI na wala sio swala la ku-compare technology , Development, au wealthness ya hizo nchi mbili. Kwani hajawahi ona qualified engineer anashindwa kazi (kuchonga concrete rungu) an ordinary practioner/technition ana fanya vizuri zaidi ?
 
Lakini naweza kushawishika kukubaliana na mtoa maada kwa mazingira yake. Lakini hii halihusiani sana na masomo ya darasani bali mazingira aliyosomea.

Nitatoa ushuhuda
Mie sijawahi kusoma biology nimesoma technical toka secondary , lakini tukiwa ktk nchi fulani ulaya huwa kuna wakenya wanakuja kukimbia kwa msimu wanarudi, basi mkenya mmoja akauugua wakampeleka hospitali waganga na watalaamu na mashine zao wakijikusanya wakamfanyia uchuguzi hawapati kitu, siku mbili zimepita wanakuna kichwa jamaa yupo hoi na uhoi unazidi, rafikii yangu mwingine mkenya akanichukua twende tukamcheck jamaa, kukuta jamaa wa njano tukawaambia madaktari huyu either ni yellow fever ama malaria, walivyompima wakakuta na yellow fever.
Lakini madaktari walikuwa wamejikita sana kwenye ini, kuchunguza. Hivyo sisi tukawa tumegundua gonjwa japo sio madaktari lakini ni kutokana na mazingira tuliyokulia.

Hivyo Daktari aliyesoma Tz kwa kuona magonjwa hayo hayo kila siku ni rahisi kuyang'amua mapema wenda kuliko wa ulaya kwa sababu wa ulaya amefanya na kusoma ktk magonjwa tofauti kabisa.
Mfano, Unaweza somaulaya na kufanya kazi miaka mingi ya kutosha lakini hujawahi kukutana na mgonjwa wa malaria, sasa wakikushusha moja kwa moja pale bongo kwa mentality za kibongo utaonekana hujui.

Udaktari naufananisha kwa mbali na watu waliosoma sheria, nafikiri huwezi chomoka na sheria yako ya tz ukaenda moja kwa moja kudefend kesi tuseme us, ili ufanye hivyo itabidi wakupe mda upate kuzipitia sheria za nchi husika, vivyo hivyo kwa madaktari kama umesoma ulaya kwenye msisitizo wa magonjwa tofauti itabidi wakupe mda ili kuweza kwendana na magonjwa ya nyumbani, sasa huu mda wa mpito ndo wanaonekana hawajui,LAKINI kwa mentality za kibongo.
 
Back
Top Bottom