lufungulo k
JF-Expert Member
- Apr 19, 2012
- 2,550
- 1,987
Napenda kufahamu jinsi wafanyabiashara wanavyonunua mbuzi toka kwenye minada mbalimbali eneo la Gairo, Kilindi, Handeni , Kilosa na Dodoma.
Kisha kuwasafirishq kupeleka kwenye kiwanda cha Nyama pale Kibaha na malipo yao ikihusisha mchakato mzima.
Kwa kiasi fulani nimejikuta kuvutiwa na biashara hii.
Kisha kuwasafirishq kupeleka kwenye kiwanda cha Nyama pale Kibaha na malipo yao ikihusisha mchakato mzima.
Kwa kiasi fulani nimejikuta kuvutiwa na biashara hii.