Kabakabana
JF-Expert Member
- Aug 5, 2011
- 5,551
- 1,160
Niko hapa stendi ya arusha ndani ya mabasi yanayoelekea moshi.Kuna hawa wauzaji wa vitu vidogo vidogo wanapenda kweli kuja madirishani kuadvertise biashara zao.
Mmoja anauza miwani,na akawa anamwelezea baba aliekaa mbele yangu kuwa zina lenzi na ukivaa unaweza kuona wengewenge.Huyu baba kainunua kwa 5000 ilikuwa inauzwa 7000.Nimeshindwa kuelewa kabisa inakuwaje mtu unanunua miwani yenye lenzi ambayo hujaelekezwa na doctor au hii imekaaje?
Mmoja anauza miwani,na akawa anamwelezea baba aliekaa mbele yangu kuwa zina lenzi na ukivaa unaweza kuona wengewenge.Huyu baba kainunua kwa 5000 ilikuwa inauzwa 7000.Nimeshindwa kuelewa kabisa inakuwaje mtu unanunua miwani yenye lenzi ambayo hujaelekezwa na doctor au hii imekaaje?