MASHUVE IFOLONG'O
Member
- Aug 29, 2012
- 12
- 0
Nadhani mechi nyingi za hawa wapinzani Real anapigwa. Au sikosawa wajameni
hakuna kama Fc Barcelona kuanzia nidhamu mpaka soka la uwanjani. Hawa majamaa wapo juu
Barça hawana desturi ya kulalamika. Kazi ya kulalamika wanaiweza Madrid wakifungwa, maana wao kila wakifungwa 'wameonewa'Watu wana phyisic huwezi skia timu imefungwa na madrid mwisho wa siku kuna malalamiko,. Soka safi ushindi wa halali. Madrid nouumaa
Barça hawana desturi ya kulalamika. Kazi ya kulalamika wanaiweza Madrid wakifungwa, maana wao kila wakifungwa 'wameonewa'