mcubic
JF-Expert Member
- Mar 3, 2011
- 10,306
- 6,514
Jamaa wanabishana kwenye kipindi cha Jahazi...Kisa ni baada ya waandishi wa habari kuzuiwa kuingia Mahakamani kuripoti kesi ya Mzee Mwinyi...Lugha iliyotumiwa kuwazuia waandishi hao ni "Kesi hii haiwahusu".
kibonde anasema Lugha hiyo ni sahihi..
Kayanda anasema lugha hiyo si ya kistaarabu.....
kibonde anasema Lugha hiyo ni sahihi..
Kayanda anasema lugha hiyo si ya kistaarabu.....