Ongeza na self made king Joseph Kasheku Musukuma.1. Dr Bashiru
2. Luhanga Mpina
3. Kishimba
Hawa wote WEZI.Dr samiah
Nape
Mwigulu
Ridhiwani
Makamba
Nina imani hawa wakipewa nchi tutafika nchi ya ahadi hasa Mama samiah tukiwa na imani naye 2030 ikibiidi aongezewe muda hata kama hataki.
Majaliwa namtazama kama mtu mwenye hofu sana, pia naona kama anapenda kutoa matamko kwamba "Rais ameniagiza". Hii kauli umenifanya kumtafasiri kama hajakomaa ama hajiamini kwa kuogopa God father'sHumphrey polepole au majaliwa Kassim majaliwa
They are typical presidential materials
Hii ni Utopian tuuNani aliwadanganya kuwa, unaweza kuwa Rais wa Nchi na Usiwe Mwanasiasa.
Kishimba duuuuh1. Dr Bashiru
2. Luhanga Mpina
3. Kishimba
Gaidi liwe rais? Labda aunde LRA kama Joseph KonyMwingine anayeweza kuwa rais wa tanzania ni mwigulu nchemba. Huyu anakijua chama chake vizuri, anaijua nchi nzima, ni nguli wa masuala ya uchumi.
Namba 2 sawa.Ila aunde serikali msetoMimi kwa maoni yangu naona hawa wawili kwa sasa wanaweza kutufaa
1. Tundu Antipasi M. Lissu
2. Dr. Hussein Ally Mwinyi
Kama ataahirisha kutuuzaOnly Dr Samia
Mpango anafaa, lakini ni mpole sana mwenye kuongozwa na jazba zaidi.Dr. Philip Mpango.
Ni mnyenyekevu sana. Hana Makuu na ni Msomi halisi.
Yaani tuwe na Rais sura imepindapinda ka Mizengo PindaHapo ni
1. Luhanga Mpina
2. Kassim Majaliwa
3. Bashiru Ally
4. Dr. Husein Mwinyi
5. Yule mkuu wa mkoa wa Geita aliyewahi kuwa katibu mkuu wa uvccm nimesahau kidogo
Mkuu, binafsi namtazama kishimba kama mtu mwenye maono.Kishimba duuuuh
Majaliwa sio kwamba ni muoga ila mfumo unambana kwa nafasi yake yaani ni kama anatengenezewa mazingira awe hivi tunavyo muona.Majaliwa namtazama kama mtu mwenye hofu sana, pia naona kama anapenda kutoa matamko kwamba "Rais ameniagiza". Hii kauli umenifanya kumtafasiri kama hajakomaa ama hajiamini kwa kuogopa God father's
Kwangu mimi afadhali ya Mch Msigwa ama J. MnyikaMbowe
Nafikiri huu mfumo ndio zaidi umepelekea chama hicho kua na vuguvugu ndani, manung'uniko, chuki za wao kwa wao pamoja na kuto kuaminiana hata kufikia kuto achiana maji ya kunywa mezani.Ccm ina makada wengi wanaoweza kuwa marais ila hufanya surprise kupata mgombea ambaye hatajwi na hafahamiki vizuri hata na chama chao. Majina maarufu huishia kwenye kinying'anyiro tu, unashangaa underground mgombea ainaibuliwa dakika za mwisho