Nicholas
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 25,260
- 7,195
Kumekuwa na wapuuzi wengi sana wanapiga kelele sijui Lema hajasoma,sijui lema anawashabiki wanywa viroba, sijui nini na nini..sijui lema hamfikii kilaza gani ambaye eti napiga siasa za kisayansi hadi yeye mwenyewe hawezi zielewa..
Lema kapita ktk majimbo kibao nchini,yakiwepo ya wapinzani na wambea wa CCM na wale wa CDM wenye shida na chama,na kafunika vilevile.Sasa ni zamu yao waende kwake.
Nigependa jua nani tena kabaki na umbea kuwa Lema mwisho wake ni Arusha?
Lema kapita ktk majimbo kibao nchini,yakiwepo ya wapinzani na wambea wa CCM na wale wa CDM wenye shida na chama,na kafunika vilevile.Sasa ni zamu yao waende kwake.
Nigependa jua nani tena kabaki na umbea kuwa Lema mwisho wake ni Arusha?