- Thread starter
- #21
na kama raisi sio mkwere basi hata waziri wa hiyo wizara sio ngeleja,ni hao wasaidizi wa RA
""NAMUUNGA MKONO DR WILLIBORD PETER SLAA AGOMBEE URAISI 2015""
Mkuu hapo kwenye red sasa sawasawa, au ile uliyoandika mwanzo ulikuwa unatingisha kibiriti wanachadema wanzako; au ulisahau kuifuta tangu mwaka 2000.