Jamii iko tayari kuwahakumu mashoga./wasagaji (whatever you call them) kwa matendo yao.
Binafsi i dont care mambo yao! Ni life style yao.
Jamii yetu inawahusudu wale wanaoiibia serikali.Billions ziko Uswisi & Uarabuni hata Sauzi.
Vitanda vya hopitali,shule ngapi zingejengwa na pesa hizi za EPA,Meremeta etc
Binafsi i dont care mambo yao! Ni life style yao.
Jamii yetu inawahusudu wale wanaoiibia serikali.Billions ziko Uswisi & Uarabuni hata Sauzi.
Vitanda vya hopitali,shule ngapi zingejengwa na pesa hizi za EPA,Meremeta etc