Grader
JF-Expert Member
- Feb 23, 2009
- 445
- 64
kwa mara ya kwanza ilianza chokochoko kwenye kikao kilichopita nafikiri cha mwezi wa 4 mwaka huu,walidai kuliondoa suala la mafuta na gasi kwenye mambo ya muungano- ikafikia wakati Rais wa jamhuri wa muungano Jakaya Mrisho Kikwete kuingilia kati na kulizungumzia katika hotuba yake ya mwezi huo.
Chakushangaza katika kikao hiki kinachoendelea hivi sasa baraza la wawakilishi limepitisha ya kuwa wameliondoa suala la gasi asilia pamoja na mufuta kwenye masuala ya muungano baada ya kuona wao wanauhakika ya kuwa wa kupata hivyo vyote hapo kwao.
Wiki kama moja iliyopita kulikuwa na utata kuhusu mambo ya michezo nani anatakiwa kujulikana kati ya ZFA au TFF?
Jana wanataka kujiunga katika jumuiya ya Afrika Mashariki kwa sababu sijui wana Rais wao!
Naomba tusaidiane kwenye haya,
1. Maana halisi ya muungano,ukijumuisha maudhui yake ikizingatia faida na hasara ya muunagano.
2. Mambo yanatakiwa kwenye muungano
3.Kwa nini kusiwe na serikali tatu.
4.Huu mkanganyiko mpaka lini?
Chakushangaza katika kikao hiki kinachoendelea hivi sasa baraza la wawakilishi limepitisha ya kuwa wameliondoa suala la gasi asilia pamoja na mufuta kwenye masuala ya muungano baada ya kuona wao wanauhakika ya kuwa wa kupata hivyo vyote hapo kwao.
Wiki kama moja iliyopita kulikuwa na utata kuhusu mambo ya michezo nani anatakiwa kujulikana kati ya ZFA au TFF?
Jana wanataka kujiunga katika jumuiya ya Afrika Mashariki kwa sababu sijui wana Rais wao!
Naomba tusaidiane kwenye haya,
1. Maana halisi ya muungano,ukijumuisha maudhui yake ikizingatia faida na hasara ya muunagano.
2. Mambo yanatakiwa kwenye muungano
3.Kwa nini kusiwe na serikali tatu.
4.Huu mkanganyiko mpaka lini?