Herbert Nkuluzi
JF-Expert Member
- Aug 10, 2015
- 2,432
- 2,437
Mbona sio mbali,ni mwezi ujao,ndo utajifunza siasa huwa inaendeshwaje.
Ukawa ikishnda bila shaka hata wewe utakuwa umejifunza usilazimishe hisia
Mbona sio mbali,ni mwezi ujao,ndo utajifunza siasa huwa inaendeshwaje.
Mafuriko haya hayazuiliki kwa mkono, jembe, greda wala ukuta, yeyote anayejipendekeza atasombwa na maji.
Hapa mumtumie Slaa, Mbowe, sijui nanii, endeleeni kuwapanga. Lowassa awe fisadi, kibaka, mwizi, mgonjwa, nk .
SISI MALOFA HATUWAELEWI MAANA UPUMBAVU WETU UPO KIWANGO CHA JUU SANA.
Mafuriko haya hayazuiliki kwa mkono, jembe, greda wala ukuta, yeyote anayejipendekeza atasombwa na maji.
Hapa mumtumie Slaa, Mbowe, sijui nanii, endeleeni kuwapanga. Lowassa awe fisadi, kibaka, mwizi, mgonjwa, nk .
SISI MALOFA HATUWAELEWI MAANA UPUMBAVU WETU UPO KIWANGO CHA JUU SANA.