Kimbunga
Platinum Member
- Oct 4, 2007
- 14,941
- 9,947
Mkuu hufahamu kwamba ufisadi huanzia kwenye bajeti?Media stunts tu hizi . maana haiwezekani kubadilisha matumizi ya pesa zilizoshatengwa na Bunge .mamlaka kayatoa wapi ? Au dio yuko juu ya sheria ?