Nani anaiongoza tanzania jamani;wafanyabiashara ,mafisadi ama familia ya kikwet??e

BASIASI

JF-Expert Member
Sep 20, 2010
9,735
5,003
Naomben msaada wenujamani kabla ya saa nne nasikia
ku bleed jamani nimesikua taarifa ya habari najaribu kunywa maji hata hayashuki
uuuuwiiiiiiiiiiii e mungu we nisaidie kiumbe chako kilichokataa kuchana passpport ya nchi yake
na sasaa kinataabika na serikali ya mafisadi
kweli riziwani aanatisha
 
Naomben msaada wenujamani kabla ya saa nne nasikia
ku bleed jamani nimesikua taarifa ya habari najaribu kunywa maji hata hayashuki
uuuuwiiiiiiiiiiii e mungu we nisaidie kiumbe chako kilichokataa kuchana passpport ya nchi yake
na sasaa kinataabika na serikali ya mafisadi
kweli riziwani aanatisha

Pole mtanzania mwenzangu, kwa sababu ndo tupo hapa lets wait and see, you and I
 
Niokoe mwenzako nakosa pa kuelekea na serikali hii chafu yenye dhambi kuliko wazinzi wafiraji sijui tunaenda wapi mungu wangu wafanyabiashara wanatupeleka wanapotaka wao ewe silaaaaaa jamani hayo maandamano ya kila siku yako wapi???jamani tushachoka
 
Niokoe mwenzako nakosa pa kuelekea na serikali hii chafu yenye dhambi kuliko wazinzi wafiraji sijui tunaenda wapi mungu wangu wafanyabiashara wanatupeleka wanapotaka wao ewe silaaaaaa jamani hayo maandamano ya kila siku yako wapi???jamani tushachoka

Muda si kitambo yatatimia, heri tungekuwa na pakukimbilia wangesalimika, lakini hatuna pa kwnda tukiwasha moto watatupenda wenyewe, wako wapi akina Hosni Mubarak?? sembuse wakwere hawa!!, the day comes and it's so near!!
 
Lini ndugu yangu wametuvua nguo za nje sasa wanaanza kutuvua hata nahizi chuPi za arsenal na barcelona
tulizojihifadhi jamani sio uungwana kabisa kabisa
 
Naomben msaada wenujamani kabla ya saa nne nasikia
ku bleed jamani nimesikua taarifa ya habari najaribu kunywa maji hata hayashuki
uuuuwiiiiiiiiiiii e mungu we nisaidie kiumbe chako kilichokataa kuchana passpport ya nchi yake
na sasaa kinataabika na serikali ya mafisadi
kweli riziwani aanatisha
Wewe mwenyewe unakielewa ulichokiandika hapa? Maana unaandika utafikiri wote tupo kwenye akili yako na mawazo yako, na kana kwamba fikira zetu ni kama zako. Sisi tunajua tulimchagua Rais Kikwete ndiye anayeongoza nchi, wewe ulitaka kuuliza nini, baada ya kuona nini?
 
Kwani kuna nini jamani mbona hamuweki vitu wazi? Au mpaka tuwape mji? Au ni lile suala la mafuta? maana nasikia kuanzia kesho jamaa wa mafuta wanarudisha bei zao; wanadai liwalo na liwe!!!
 
Niokoe mwenzako nakosa pa kuelekea na serikali hii chafu yenye dhambi kuliko wazinzi wafiraji sijui tunaenda wapi mungu wangu wafanyabiashara wanatupeleka wanapotaka wao ewe silaaaaaa jamani hayo maandamano ya kila siku yako wapi???jamani tushachoka
<br />
<br />
Laaaaa! Unatia hurumaaaaa" ndo hivo ndugu yangu, hii ndo Tanzania inayotangazwa kila siku kwamba ni nchi ya amani.
 
Back
Top Bottom