Nani anahusika na uptodating ya blog ya ikulu .

Dec 21, 2011
71
75
ni aibu kila napo ingia kutizama blog ya ikulu na kuta bado matukio yaliyopo huko mwisho ni ya mwezi Aprili tena sherehe za muungano.Je hakuna matukio mengine huko ikulu ndugu zangu.Sisi watu wa IT kiasi mnatutia wasiwasi kama hakuna wa kufanya kazi hiyo nipeni mimi basi.
 
Tz zaidi ya uijuavyo!! Na bado utasikia kuna watu wa IT wanalipwa mamilion kwa mwezi bila kufanya kazi.
 
Back
Top Bottom