Kachanchabuseta
JF-Expert Member
- Mar 8, 2010
- 7,269
- 675
Wanajf mimi nimesafiri kidogo niko mkoani kwa week tatu sasa, nimekuwa kifatilia HABARI ZA MAGAZETI lakini gazeti la MWANANCHI Imekuwa inanichukua siku mbili kupata hardcopy ya gazeti la jana.
Katika kufatilia habari zake ikabidi niwe naenda kulisoma online www.mwananchi.co.tz
lakini nimekuwa nikikutana na hii Message
Internet Explorer cannot display the webpage
Baada ya kuona hii message nikaanza kufatilia vyombo vya habari vinavyosoma magazeti ASUBUHI ANGALAU NIPATE HABARI NI HEADINGS.
HII NI SURVEY KWA MUDA WA WEEK MBILI
TBC1
kwenye dondozi za magazeti sa12.30am na saa7.30 am WAMEKUWA WAKISOMA MAGAZETI MENGINE LAKINI LA MWANANCHI HALISOMWI
TBC1 GAZETI LAO LA KWANZA NI HAMA UHURU AU HABARILEO AU MZALENDO
ITV
Dondozi za magazeti sa12.45am and 7.45am VILEVILE HAWASOMI GAZETI LA MWANANCHI KWA WEEK 2 SASA
ITV GAZETI LAO LA kwanza kusoma ni NIPASHE
RADIO ONE
Saa 7.15am hawajasoma gazeti la mwananchi kwa week mbili
CAPITAL RADIO
Saa 12.30am na hawa hawasomi hili gazeti
CLOUDS FM
SAA 7.50AM Hawa na wenyewe vile vile
Pamoja na kuwa GAZETI LA MWANANCHI LINAUZA COPY NYINGI MTAANI naona linaujumiwa
Swali:
1. Kwanini website yake imefungwa? www.mwananchi.co.tz
2. Inawezekana mimi sielewi hawa wanaosoma magazeti asubuhi wanaitaji kulipwa na MWANANCHI COMMU. ILI GAZETI LAKE LIWEZE KUSOMWA?
3.NANI anavilipa hivi vyombo vya HABARI VIWEZE KUUJUMU GAZETI LA MWANANCHI?
Katika kufatilia habari zake ikabidi niwe naenda kulisoma online www.mwananchi.co.tz
lakini nimekuwa nikikutana na hii Message
Internet Explorer cannot display the webpage
Baada ya kuona hii message nikaanza kufatilia vyombo vya habari vinavyosoma magazeti ASUBUHI ANGALAU NIPATE HABARI NI HEADINGS.
HII NI SURVEY KWA MUDA WA WEEK MBILI
TBC1
kwenye dondozi za magazeti sa12.30am na saa7.30 am WAMEKUWA WAKISOMA MAGAZETI MENGINE LAKINI LA MWANANCHI HALISOMWI
TBC1 GAZETI LAO LA KWANZA NI HAMA UHURU AU HABARILEO AU MZALENDO
ITV
Dondozi za magazeti sa12.45am and 7.45am VILEVILE HAWASOMI GAZETI LA MWANANCHI KWA WEEK 2 SASA
ITV GAZETI LAO LA kwanza kusoma ni NIPASHE
RADIO ONE
Saa 7.15am hawajasoma gazeti la mwananchi kwa week mbili
CAPITAL RADIO
Saa 12.30am na hawa hawasomi hili gazeti
CLOUDS FM
SAA 7.50AM Hawa na wenyewe vile vile
Pamoja na kuwa GAZETI LA MWANANCHI LINAUZA COPY NYINGI MTAANI naona linaujumiwa
Swali:
1. Kwanini website yake imefungwa? www.mwananchi.co.tz
2. Inawezekana mimi sielewi hawa wanaosoma magazeti asubuhi wanaitaji kulipwa na MWANANCHI COMMU. ILI GAZETI LAKE LIWEZE KUSOMWA?
3.NANI anavilipa hivi vyombo vya HABARI VIWEZE KUUJUMU GAZETI LA MWANANCHI?