Elections 2010 NANI ANAHUJUMU GAZETI LA MWANANCHi?

Kachanchabuseta

JF-Expert Member
Mar 8, 2010
7,269
675
Wanajf mimi nimesafiri kidogo niko mkoani kwa week tatu sasa, nimekuwa kifatilia HABARI ZA MAGAZETI lakini gazeti la MWANANCHI Imekuwa inanichukua siku mbili kupata hardcopy ya gazeti la jana.

Katika kufatilia habari zake ikabidi niwe naenda kulisoma online www.mwananchi.co.tz
lakini nimekuwa nikikutana na hii Message
Internet Explorer cannot display the webpage


Baada ya kuona hii message nikaanza kufatilia vyombo vya habari vinavyosoma magazeti ASUBUHI ANGALAU NIPATE HABARI NI HEADINGS.

HII NI SURVEY KWA MUDA WA WEEK MBILI

TBC1
kwenye dondozi za magazeti sa12.30am na saa7.30 am WAMEKUWA WAKISOMA MAGAZETI MENGINE LAKINI LA MWANANCHI HALISOMWI
TBC1 GAZETI LAO LA KWANZA NI HAMA UHURU AU HABARILEO AU MZALENDO

ITV
Dondozi za magazeti sa12.45am and 7.45am VILEVILE HAWASOMI GAZETI LA MWANANCHI KWA WEEK 2 SASA
ITV GAZETI LAO LA kwanza kusoma ni NIPASHE

RADIO ONE
Saa 7.15am hawajasoma gazeti la mwananchi kwa week mbili

CAPITAL RADIO
Saa 12.30am na hawa hawasomi hili gazeti

CLOUDS FM
SAA 7.50AM Hawa na wenyewe vile vile


Pamoja na kuwa GAZETI LA MWANANCHI LINAUZA COPY NYINGI MTAANI naona linaujumiwa

Swali:
1. Kwanini website yake imefungwa? www.mwananchi.co.tz

2. Inawezekana mimi sielewi hawa wanaosoma magazeti asubuhi wanaitaji kulipwa na MWANANCHI COMMU. ILI GAZETI LAKE LIWEZE KUSOMWA?

3.NANI anavilipa hivi vyombo vya HABARI VIWEZE KUUJUMU GAZETI LA MWANANCHI?
 
Tazama channel ten saa 12,00,saa 1:00 na saa 2:00 asubuhi

Sikiliza RFA saa 12:30 asubuhi

Tazama ATN tv saa 2:00 asubuhi utalipata tu
 
Wanajf mimi nimesafiri kidogo niko mkoani kwa week tatu sasa, nimekuwa kifatilia HABARI ZA MAGAZETI lakini gazeti la MWANANCHI Imekuwa inanichukua siku mbili kupata hardcopy ya gazeti la jana.

Katika kufatilia habari zake ikabidi niwe naenda kulisoma online www.mwananchi.co.tz
lakini nimekuwa nikikutana na hii Message
Internet Explorer cannot display the webpage


Baada ya kuona hii message nikaanza kufatilia vyombo vya habari vinavyosoma magazeti ASUBUHI ANGALAU NIPATE HABARI NI HEADINGS.

HII NI SURVEY KWA MUDA WA WEEK MBILI

TBC1
kwenye dondozi za magazeti sa12.30am na saa7.30 am WAMEKUWA WAKISOMA MAGAZETI MENGINE LAKINI LA MWANANCHI HALISOMWI
TBC1 GAZETI LAO LA KWANZA NI HAMA UHURU AU HABARILEO AU MZALENDO

ITV
Dondozi za magazeti sa12.45am and 7.45am VILEVILE HAWASOMI GAZETI LA MWANANCHI KWA WEEK 2 SASA
ITV GAZETI LAO LA kwanza kusoma ni NIPASHE

RADIO ONE
Saa 7.15am hawajasoma gazeti la mwananchi kwa week mbili

CAPITAL RADIO
Saa 12.30am na hawa hawasomi hili gazeti

CLOUDS FM
SAA 7.50AM Hawa na wenyewe vile vile


Pamoja na kuwa GAZETI LA MWANANCHI LINAUZA COPY NYINGI MTAANI naona linaujumiwa

Swali:
1. Kwanini website yake imefungwa? www.mwananchi.co.tz

2. Inawezekana mimi sielewi hawa wanaosoma magazeti asubuhi wanaitaji kulipwa na MWANANCHI COMMU. ILI GAZETI LAKE LIWEZE KUSOMWA?

3.NANI anavilipa hivi vyombo vya HABARI VIWEZE KUUJUMU GAZETI LA MWANANCHI?

Jibu la swali namba 3 - Haramia Kinana
 
Sina uhakika sana na habari hii, mimi nimekuwa nikilipata kwenye mtandao bila matatizo. Labda maswala ya internet
 
Wanajf mimi nimesafiri kidogo niko mkoani kwa week tatu sasa, nimekuwa kifatilia HABARI ZA MAGAZETI lakini gazeti la MWANANCHI Imekuwa inanichukua siku mbili kupata hardcopy ya gazeti la jana.

Katika kufatilia habari zake ikabidi niwe naenda kulisoma online www.mwananchi.co.tz
lakini nimekuwa nikikutana na hii Message
Internet Explorer cannot display the webpage


Baada ya kuona hii message nikaanza kufatilia vyombo vya habari vinavyosoma magazeti ASUBUHI ANGALAU NIPATE HABARI NI HEADINGS.

HII NI SURVEY KWA MUDA WA WEEK MBILI

TBC1
kwenye dondozi za magazeti sa12.30am na saa7.30 am WAMEKUWA WAKISOMA MAGAZETI MENGINE LAKINI LA MWANANCHI HALISOMWI
TBC1 GAZETI LAO LA KWANZA NI HAMA UHURU AU HABARILEO AU MZALENDO

ITV
Dondozi za magazeti sa12.45am and 7.45am VILEVILE HAWASOMI GAZETI LA MWANANCHI KWA WEEK 2 SASA
ITV GAZETI LAO LA kwanza kusoma ni NIPASHE

RADIO ONE
Saa 7.15am hawajasoma gazeti la mwananchi kwa week mbili

CAPITAL RADIO
Saa 12.30am na hawa hawasomi hili gazeti

CLOUDS FM
SAA 7.50AM Hawa na wenyewe vile vile


Pamoja na kuwa GAZETI LA MWANANCHI LINAUZA COPY NYINGI MTAANI naona linaujumiwa

Swali:
1. Kwanini website yake imefungwa? www.mwananchi.co.tz

2. Inawezekana mimi sielewi hawa wanaosoma magazeti asubuhi wanaitaji kulipwa na MWANANCHI COMMU. ILI GAZETI LAKE LIWEZE KUSOMWA?

3.NANI anavilipa hivi vyombo vya HABARI VIWEZE KUUJUMU GAZETI LA MWANANCHI?

Mkuu mimi niko nchi jirani nalisoma bila matatizo yoyote kwenye mtandao. Tatizo langu gazeti la Tanzania Daima, lililopo ni lile la Ijumaa. Hakuna updates
 
Hata mimi hapa nilipo nalipata kwenye mtandao. Labda angalia "service provider" wa mtandao wako ni nani huenda huyo ndo anafanya hiyo hujuma na hivyo vyombo vya habari kutolisoma kwenye vipindi vyao vya magazeti. Ila kiuhakika ni kwamba Kinana alisikika akiwalalamikia Mwananchi eti hawaandiki habari nzuri kuhusu CCM, hivyo huenda kukawa na hujuma fulani kwa gazeti hili.
 
Hata mimi hapa nilipo nalipata kwenye mtandao. Labda angalia "service provider" wa mtandao wako ni nani huenda huyo ndo anafanya hiyo hujuma na hivyo vyombo vya habari kutolisoma kwenye vipindi vyao vya magazeti. Ila kiuhakika ni kwamba Kinana alisikika akiwalalamikia Mwananchi eti hawaandiki habari nzuri kuhusu CCM, hivyo huenda kukawa na hujuma fulani kwa gazeti hili.


Inawezekana hapo kwenye red ndo kuna Tatizo ngoja nijaribu kwa mwangine
 
Nadhani una tatizo la mtandao.Mwananchi.co.tz linapatikana wakati wowote,bado sijaona tatizo hapo.
Chunga sana magazeti ya kusoma,unaweza kupata presha bure,angalia sana magazeti na redio za kusikiliza ndugu yangu.
Mimi nimeshaharibu karedio kangu kadogo kwasababu ya taarifa niliyosikia Redion UHURU.Bora wangebadili jina la hiyo redio,maana ilinichefua kupita kiasi na kupondaponda ile redio watoto wakachukua kuchezea.
Mbona taarifa zote za habari muhimu kwa mustakabali wa nchi yetu tunazipata hapa Jamiiforum Bila tatizo lolote?
Hata hivyo Kings of Kings umejaribu kutoa taarifa muhimu sana kipindi hiki kigumu kwa watu wanaotaka kurejesha nchi yao kwa amani kama mkulu ataridhia.
SORRY KIKWETE,
IS IT,YES.......WE NEED CHANGE!!!!!
 
Kuna tatizo katika gazeti la Tanzania Daima wao hawalipandishi katika mtandao kila siku lililoko ni la Ijumaa kama ilvyosemwa na mmoja wetu hapo juu. Tatizo hili pia liko katika tovuti ya Dr. Slaa nayo haiboreshwi na kulishwa habari kila siku.
 
Back
Top Bottom