= tunasubiri
Ubashiri murua kabisaTundu Lissu au Laila Odinga
Watu babaTundu Lissu au Laila Odinga
Siyo homeboy bali ni mpwa.Naibu waziri kishaandaliwa kupandishwa kuwa waziri kamili, Kama hajatumbuliwa pamoja na muhongo bado hamjaelewa tu, kwanza ni home boy halafu mrithi wa mfalme jimboni kwake,
Sent using Jamii Forums mobile app
Mmmh!Nyuma ya jina paulo mbona patupu!Paulo Daudi John!
Hao wote hamna kitu hasa huyu mlinga huwa hata hajielewagi.Msukuma, Mlinga au Lusinde
Hao ndiyo ma think tank ya CCM mkuuHao wote hamna kitu hasa huyu mlinga huwa hata hajielewagi.
Unataka yamkute kama yaliyomkuta aliyetoka uko nchi za watu kuja kufanya kazi tbcNaona amteue bwana mmoja muendesha jiji la Texas katika masuala ya nishat, anaitwa Dr Wellington Kamala , japo KIKWETE alimchagua miaka ya nyuma akakataa, lakin huyu akimshawish Anaweza kuja