Eiyer JF-Expert Member Apr 17, 2011 28,258 20,712 Jun 14, 2012 Thread starter #41 Purple said: Umenena!kuliko kumchunga binadamu mmoja bora uchunge mbuzi mia! Click to expand... Lakini kuna wakati mbuzi huachwa na kurudi zizini peke yao!
Purple said: Umenena!kuliko kumchunga binadamu mmoja bora uchunge mbuzi mia! Click to expand... Lakini kuna wakati mbuzi huachwa na kurudi zizini peke yao!
ISSA SHARAFI JF-Expert Member Apr 25, 2012 407 75 Jun 14, 2012 #42 Binadamu hachungwi kama punda kwa kupigwa fimbo ila ni kuaminian tu ndio panga.
Kimbweka JF-Expert Member Jul 16, 2009 8,597 1,683 Jun 15, 2012 #43 Mtambuzi said: Kimbweka kasema eti kwa mujibu wa maandiko matakatifu tulishauriwa tusiwachunge wanawake lakini tuishi nao kwa akili..............! Click to expand... Ndo hivyo Mkubwa teh teh teh
Mtambuzi said: Kimbweka kasema eti kwa mujibu wa maandiko matakatifu tulishauriwa tusiwachunge wanawake lakini tuishi nao kwa akili..............! Click to expand... Ndo hivyo Mkubwa teh teh teh