MtamaMchungu
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 8,441
- 11,452
Huwa wanakuwa wakali sana.... utafikiri wale matapeli wa simu ukiwastukia ๐ ๐ ๐ ๐ ๐That is very true, kwa maoni yao ya ajabu wanasema; ukiuliza swali au maswali kama hayo wewe unakuwa, Mjinga, Muongo, mdanganyifu, maamuma, na Sophist. -- sasa huo uongo (deception) unatokea wapi katika kuuliza??!!๐คฃ