MAKAMBA:; Anayepinga malipo ya DOWANS ruksa kuhama chama cha mapinduzi CCM
KIKWETE:; Mimi siitambui DOWANS na ninapinga malipo ya DOWANS..........:msela:
sasa hii ina maana gani? na tunapata picha ya namna gani kutoka kwa hawa viongozi wa ngazi za juu kabisa wa chama cha mapinduzi, ambacho pia ndicho chama tawala nchini? je kikwete anatakiwa kukihama chama au makamba a-step down kwa kumdhalilisha mwenyekiti wake? na kama ikiwa wote ni wahuni just confusing innocent people sababu wanjua kila kitu?...........:bump::bump:
KIKWETE:; Mimi siitambui DOWANS na ninapinga malipo ya DOWANS..........:msela:
sasa hii ina maana gani? na tunapata picha ya namna gani kutoka kwa hawa viongozi wa ngazi za juu kabisa wa chama cha mapinduzi, ambacho pia ndicho chama tawala nchini? je kikwete anatakiwa kukihama chama au makamba a-step down kwa kumdhalilisha mwenyekiti wake? na kama ikiwa wote ni wahuni just confusing innocent people sababu wanjua kila kitu?...........:bump::bump: