CharmingLady
JF-Expert Member
- Apr 16, 2012
- 18,250
- 12,868
mmmmmh,mchakachuo square mbna hakuna saini ya mchungaji na muhur wa kanisa??????? hebu rudi tena kwa mchungaji na km umeghushi imekula kwako mazimaaaaa . . .
cna mchumba ila baba mchungaji kasema ameona maono kuwa mchumba yupo karibu!
Toba!...mmmmmh,mchakachuo square mbna hakuna saini ya mchungaji na muhur wa kanisa??????? hebu rudi tena kwa mchungaji na km umeghushi imekula kwako mazimaaaaa . . .
acha bas hayo maspeed mwishowe uni-ovartake
Yaaaalah!!!!!!!Toba!...
Charminnglady mwonee huruma mwenzio,mbona unampa mitihani kama vile anatafuta kazi?... Pole wakati ndio sasa
Yaaaalah!!!!!!!
Yaaaalah!!!!!!!
Hata hivyo mie niseme hongera!
Kanyota kako kanauza!
Yaani full-mauzo!
Sasa jitie mashauzi ukaacha kusanjarika na nyota ikiwa bado ina demand kunako soko!
Mauzo huja na kutoweka!
Nata na bit !
Nenda na move!
Usije ukakumbuka shuka majirani wana miswaki midomoni .
umeona eeh!
Hiyo "kitambo" umeijazia mi "a" kibao! punguza mi "a" afu jaza mi "o" ya kutosha mwishoni !
Utakua umeitendea haki uzi .
Mdau , unakimbiza!
hahaha unataka wani-kongs' bunsen burner wewe
hamna lolote..... wizi mtupu... nawakimbizaje????? kwa avatar au make cwafahamu wala hawanifahamu et..