Moseley
Senior Member
- Jul 10, 2010
- 187
- 94
Maelezo au maoni ya watu mbalimbali na wanazuoni kuhusu sakata hii wanaweka msimamo kumpinga Mwanasheria Mkuu wa Serikali.
Lakini, lipo tatizo nadhani inawezekana ni la msingi. Mara mbili sasa Mwanasheria Mkuu wa Serikali ametofautiana na Waziri Mkuu (ambaye naye ni mwanasheria kitaaluma).
Kuhusu Katiba, Waziri Mkuu ameahidi kumshauri Rais walifanyie kazi. Jaji Werema amesema Katiba itawekewa viraka tu, maoni ya kuwa na Katiba Mpya yeye inaonekana hayaoni.
Kuhusu sakata la Dowans, Waziri Mkuu amesema wataliangalia kuona namna ya kukata rufaa. Jaji Werema anasema, hapana, TANESCO watalipa, mjadala umefungwa!!
Tutatifika 2015 kweli!? Tukifika historia itakuwa imeandikwa!.
Lakini, lipo tatizo nadhani inawezekana ni la msingi. Mara mbili sasa Mwanasheria Mkuu wa Serikali ametofautiana na Waziri Mkuu (ambaye naye ni mwanasheria kitaaluma).
Kuhusu Katiba, Waziri Mkuu ameahidi kumshauri Rais walifanyie kazi. Jaji Werema amesema Katiba itawekewa viraka tu, maoni ya kuwa na Katiba Mpya yeye inaonekana hayaoni.
Kuhusu sakata la Dowans, Waziri Mkuu amesema wataliangalia kuona namna ya kukata rufaa. Jaji Werema anasema, hapana, TANESCO watalipa, mjadala umefungwa!!
Tutatifika 2015 kweli!? Tukifika historia itakuwa imeandikwa!.