Nampongeza JK kuwapa wasomi practical Experience,Ila Muhongo anaweza haribu hii spirit.

Tena mwambie apeleke wowowo lake mbele akachambe.

Mwendo wa JF ni majibu kwa kadiri ya mtu
anavyokuja. Huyu hajuza hajui kama Nyerere alikuwa anatimiza ilani ya ccm.

dalili za kuishiwa hoja za kisomi hizo...toa point usomeke sio udini...
huwezi kuupenda mpira kama ww sio mshabiki
point of correction sio HAJUZA ni AJUZA.
 
Ila mwenye asili ya pesa ni Bakhresa? Kuwapanga ombaomba mtaa wa Livingston na kuwagaiya miamia?

Wazaramo hamjawahi kuishiewa porojo blabla kibao kama Mbwiga wa mbwiguke.

Undeni kamati ya maimamu kuwanusuru waislamu wenzako walioshindwa kazi ya uwaziri ambso ni lazima watoswe.

1. Jumanne Magembe
2.Shukuru Kawambwa
3. Adam Malima.

Hawa wachukuweni wakatumike kwenye shura ya maimamu.

Kama huna hoja ya kuchangia si ukae kimya kwani lazima uzungumzie uislaam wewe MATOLA=Tobo la Mama yako.
 
Wengi wanaweza payuka nami kuhusu hili ila ukweli utabaki.JK ni kupongeza hapa.Imekuwa na ni sehemu yangu ya lawama na chuki dhidi ya tabia ya watanzania kujidai na vyeti bila kuja kipya cha kubadili maisha ya watanzania wa asili,wazawa na wazalendo.Wengi walilia kutokuwepa nafasi.Na wengine kusema hakuna weledi kwa watanzania.

Mheshiwa Rais..JK kwa hili kafanya vyema, kawafunguliwa njia, ila Huyu Prof Muhongo kaamua waangusha watanzania ,Tena kwa kujilinda kwa kauli zilezile tofauti ni kwamba toka weledi na kuwa mitaji.

"HAKUNA MTANZANIA ANAYEWEZA WEKEZA KTK MAFUTA NA GESI" si tofauti sana "TANZANIA HAINA WATAALAMU".Kwa haraka naona huyu waziri akijijumuisha ktk wasio na weledi bila jijua na hiVyo kuturudisha kulekule kuwa Kawaangusha wasomi na pengine kufanya rais ajaye au hata huyu kuwa na ushahidi kuwa hakuna wasomi Tanzania.

Huyu Jamaa km kweli aliona kuna tatizo la wazawa na kuna issue ya kuwawezesha watanzania.Sijui kwanini Prof..hakuumiza kichwa na kuja na plan kubwa zaidi ya kuweza kuwashirikisha wazawa na kuwawezesha.Najiuliza si ndio haya yalimfanya Nyerere akasema kila kitu kibaki?Sasa mbona muhongo anakiri kuwa wazawa bado ila ana haraka ya kuanza fukua rasilimali zetu?
Kwa kweli huyo Profesa anaangusha usomi Tanzania.
Ni kama waliomfundisha walimwambia "tunakufundisha , lakini in case of difficulties refer back to us"
Thats exactly what he is doing, haonyeshi kuwa a practical, original thinker, a crammer yes!!

Angekuwepo wakati wa uhuru, wakati Mwalimu ana madaktari wawili na Ijinia mmoja , angesema mwafrika hawezi kuendesha ndege, tena kwa kiingereza angesema "its too complicated" .

Leo hii India inapeleka chombo Mars, wakati Uingereza iliyowatawala hata outer space kwenda ni shughuli pevu.
Wanasayansi wa India wangekuwa Vihongo(wingi wa Muhongo), pengine nao wasingefikiria kama watu wenye akili timamu.
Muhongo ni janga la usomi, ni msomi aliye cramm subject matter bila kuelewa jinsi atakavyoweza kufaidika na matter hiyo kama mtanzania.
Tukiwa na Vihongo wengi katika uongozi kama Profesa wetu huyu, basi hata dhana ya kujitegemea inabidi waende World Bank kwa reference!!!!
 
Menfi ni tamaa, nimekuuliza na kampuni ya utafiti wa mafuta na gas? na imeshafsnya wapi? jibu ni hana wala hawezi, hata achukuwe wataalaam wa dunia nzima awaajiri, mwishowe ataishia kuwapa contract makampuni yenye teknolojia, ambazo wanazilinda.

Huu ujanja ujanja wa kijinga sasa ni wakati muafaka kuodokana nao. Mengi anafikiri kama matapeli wa mjini na si kama mfanyabiashara mbunifu.

Hana mbinu, ni kama papa usingizi limeacha mdomo wazi linangoja samaki wajiingize wenyewe mdomoni. Mbinu za kijinga na kizamani.

Hata kama una chuki na Mengi sio lazima uonyeshe wazi, haya unayoyaandika ni kweli unayamaanisha?(kwenye area nilizobold) kama anapenda kuwekeza si umuache tuone anavyoshindwa? kwani wewe au mwingine yeyote amewakataza? tena basi kasemea watanzania wote wenye kuthubutu wapewe hiyo haki, wewe kama huthubutu kaa pembeni, ukijishusha na kuona huwezi hutaweza maisha yako yote. usichokijua wewe ni kuwa kuwa msomi mfano prof. sio lazima uwe na vipaji au karama zote, anaweza akakushinda kwingine hata wa primary tu, ni watu wangapi hawana elimu kubwa lakini wanafanya biashara vizuri kiwango cha kuwazidi wenye elimu nzuri tu? technologia tu ndio inakupa hofu kiasi hicho? basi ungeuliza ueleweshwe kuwa kwenye eneo la technologia inakuwaje!
 
Mengi ni limbukeni hana asili ya fedha ni kama kipofu aliyeona Punda. Yeye anafikiri kila kitu anaweza. Ana ujuzi upi wa kuchimba gas na oil? Hiyo kampuni yake imewahi kutafiti wapi oil na gas?

Sana sana anataka apewe block halafu yeye atafute kampuni iingie nae mkataba ale fedha za bure, kitu ambacho Serikali yenyewe inakifanya.

Ukweli ubaki kuwa ukweli.
Kwa mawazo yako haya sishangai Africa kuendelea kua masikini, ngoja nimtoe Mengi ambaye najua huta muunga mkono hata kidogo kwasababu ambazo zinajulikana humu, namleta kwako Said Salim Bakheresa, tunajua huyu bwna aliishia darasa la 4 so utaalam wa mambo ya vyakula hana kabisa, kafanyaje hata awe anatingisha soko la vinywaji nchini? Si ameajiri wataalamu tu, tena wengine wazungu, Mengi anashindwaje hapo? Gharama ambazo kina Muhongo wanazisema juu ya uzalishaji wa gas si za kweli, madini kama Dhahabu na Uraniaum ni gharama sana kuyachimba hadi upate hiyo dhahabu au Uraniaum, yana involve chemikali nyingi sana kwa michanganyo tofauti na bado gharama hiyo iliyosemwa kwenye gas haifiki, Wafrica wengi tunayo tabia 1 mbaya sana, kuchukiana ndio linalotusumbua hata sasa, binafsi ninaamini, wazawa (Mengi akiwepo) wakiwezeshwa wanaweza kabisa, unajua yule tajiri wa timu ya Chelsea? aliuziwa tu hivyo visima vya gas na serikali, aliajiri watu (yeye sio mtaalam wa mambo hayo) na sasa ni miongoni mwa matajiri duniani, serikali haikutaka kupeleka utajiri kwa watu amabao sio wazawa, binafsi nimemdharau sana profesa muhongo, nimejiridhisha kua wasomi wengi Tanzania wamekariri tu vitabu, uwezo wa kuleta vitu katika uhalisia kupitia elimu zao hawana kabisa!
 
Menfi ni tamaa, nimekuuliza na kampuni ya utafiti wa mafuta na gas? na imeshafsnya wapi? jibu ni hana wala hawezi, hata achukuwe wataalaam wa dunia nzima awaajiri, mwishowe ataishia kuwapa contract makampuni yenye teknolojia, ambazo wanazilinda.

Huu ujanja ujanja wa kijinga sasa ni wakati muafaka kuodokana nao. Mengi anafikiri kama matapeli wa mjini na si kama mfanyabiashara mbunifu.

Hana mbinu, ni kama papa usingizi limeacha mdomo wazi linangoja samaki wajiingize wenyewe mdomoni. Mbinu za kijinga na kizamani.

Bado meupe tuu ktk akili yako..

NI wewe ndio unayemwona tapeli wa mjini..mkitaka si muweke kiengele kuwa akiwa dalali mnammnyang`anya halafu muone.Ujinga umewazidi sana nyie waswahili.Hata makampuni ya nje mengi tuu hayafanyi kila kitu.Yaani kuw ana mitaji na kuwa na techlogia?wengine hata mitaji hawana, wana namna ya ku raise fund kupitia loans za mabank makubwa na taasisi nyingin ektk nchi zao, halafu wana subcontract uchimbaji, na mengine kw amaakmpuni mengine ambayo nayo yanaweza tumiia technologia za watu wengine kabisa tena zinalindwa kisheria.Mnachofanya haap ni kuwafanya wazungu waingi emikataba kwao kumbe ni kampuni ziaid ya moja.

Hata waarabu watakuja Bid hapa wakati ktk uchimbaji waarabu hawana technologia yao hata chembe,ila wana hela tuu.Sasa huo ujinga wa mhongo kuwa makampuni hayatoi technologia ni mpuuzi tupu.Kwani nani anahitaji chukua technoligia yao/watu wanataka huduma inayotokana na technologia ili gesi itoke na kuandaliwa kufika kwa wateja.
 
Mengi hatengenezi coca cola wewe, wacha ujinga. Mengi ni agent tu.

Mjiga ni wewe unayedhani unaimba taarabu hapa....agent wa nini sasa?Agent Distributor?Kweli waswahili wanatumia maana ya tatu..."watu wa hovyo kutoka pwani".....kwani kutengeneza undhani nini.Au unataka sema chemically zinazochanganywa zinatoka makao makuu?Au unataka sema franchise..hata Macdonald na vyuo vikuu vingi tuu hutoa franchises..Bugger za macdonald zinatengenezwa locally na kupewa jina tuu.

Tofautishia franchise na kuwa agent?Tofautisha viungo maalumu na kuwa agent.Coca cola na siri zake zote inatengenezwa pale dar, moshi etc ...na kinachokuja si coca cola ...wanatengeza na wana pack na kusambaza kupiti agents wao.
 
Prof. Muhongo namuunga mkono 1000% hakuna mtz anayeweza kuwekeza kiukweli ukweli kwenye gas sana sana wanataka kua madalali wamiliki vitalu kwa njia ya uzawa waende nje walete wabia waongeze pesa mifukoni mwao wachache huku wengi wetu tukipiga makofi ya nanii umesikia tajiri wa 4 Afrika au wapi sijui...upuuzi mtupu serikali inatakiwa imiliki vitalu kwa niaba ya watu mili 45 wa tz na walete wawekezaji mikataba iwe ya wazi basi.

Hata ukimuunga mkono kwa aslimia billions haindoi kupotoka kwake na kuwaharibia sana wasomi wenzie walitoka ktk theory.Nadhani kinahowazuga wabongo ni prefix Prof...hata vichaa km shamba ni maprof, lipumba ni prof...maji marefu ni prof...

Km Mndhani Mengi ni dalali na hiyo ndio gia yenu kwanini basi msiweke kipengele hicho ktk sheria.Kwa taarif ayako hata makampuni ya nje kwa gia ya washauri watadalalia vitalu km kawaida.Udalali wala hauhitaji kushika kitali ila kulobby mtu appate kitalu kwa bei fulani akupe commision yako.

Nadhani hata udalali hamuujui ndio maana mnatumia vibaya.Dalali si lazim ashike na kuuza.Mtu akinunu na kuuza ni mfanyabiasha na si dalali ambaye haihitaji kumiliki kitu ili akiuze.
 
Menfi ni tamaa, nimekuuliza na kampuni ya utafiti wa mafuta na gas? na imeshafsnya wapi? jibu ni hana wala hawezi, hata achukuwe wataalaam wa dunia nzima awaajiri, mwishowe ataishia kuwapa contract makampuni yenye teknolojia, ambazo wanazilinda.

Huu ujanja ujanja wa kijinga sasa ni wakati muafaka kuodokana nao. Mengi anafikiri kama matapeli wa mjini na si kama mfanyabiashara mbunifu.

Hana mbinu, ni kama papa usingizi limeacha mdomo wazi linangoja samaki wajiingize wenyewe mdomoni. Mbinu za kijinga na kizamani.

Bado meupe tuu ktk akili yako..

NI wewe ndio unayemwona tapeli wa mjini..mkitaka si muweke kiengele kuwa akiwa dalali mnammnyang`anya halafu muone.Ujinga umewazidi sana nyie waswahili.Hata makampuni ya nje mengi tuu hayafanyi kila kitu.Yaani kuw ana mitaji na kuwa na techlogia?wengine hata mitaji hawana, wana namna ya ku raise fund kupitia loans za mabank makubwa na taasisi nyingin ektk nchi zao, halafu wana subcontract uchimbaji, na mengine kw amaakmpuni mengine ambayo nayo yanaweza tumiia technologia za watu wengine kabisa tena zinalindwa kisheria.Mnachofanya haap ni kuwafanya wazungu waingi emikataba kwao kumbe ni kampuni ziaid ya moja.

Hata waarabu watakuja Bid hapa wakati ktk uchimbaji waarabu hawana technologia yao hata chembe,ila wana hela tuu.Sasa huo ujinga wa mhongo kuwa makampuni hayatoi technologia ni mpuuzi tupu.Kwani nani anahitaji chukua technoligia yao/watu wanataka huduma inayotokana na technologia ili gesi itoke na kuandaliwa kufika kwa wateja.
 
Prof. Muhongo namuunga mkono 1000% hakuna mtz anayeweza kuwekeza kiukweli ukweli kwenye gas sana sana wanataka kua madalali wamiliki vitalu kwa njia ya uzawa waende nje walete wabia waongeze pesa mifukoni mwao wachache huku wengi wetu tukipiga makofi ya nanii umesikia tajiri wa 4 Afrika au wapi sijui...upuuzi mtupu serikali inatakiwa imiliki vitalu kwa niaba ya watu mili 45 wa tz na walete wawekezaji mikataba iwe ya wazi basi.

Hata ukimuunga mkono kwa aslimia billions haindoi kupotoka kwake na kuwaharibia sana wasomi wenzie walitoka ktk theory.Nadhani kinahowazuga wabongo ni prefix Prof...hata vichaa km shamba ni maprof, lipumba ni prof...maji marefu ni prof...

Km Mndhani Mengi ni dalali na hiyo ndio gia yenu kwanini basi msiweke kipengele hicho ktk sheria.Kwa taarif ayako hata makampuni ya nje kwa gia ya washauri watadalalia vitalu km kawaida.Udalali wala hauhitaji kushika kitali ila kulobby mtu appate kitalu kwa bei fulani akupe commision yako.

Nadhani hata udalali hamuujui ndio maana mnatumia vibaya.Dalali si lazim ashike na kuuza.Mtu akinunu na kuuza ni mfanyabiasha na si dalali ambaye haihitaji kumiliki kitu ili akiuze.
 
Ulimsikia Bakhresa akigombea kupewa dili za vitalu vya gas na oil? umedandia daladala kwa mbele!

Ushawahi kumsikia Bakhresa akijirafutia umaarufu wa kijinga? Bakhresa kimyaaaaaa, anafanya kweli, sasa nikueleze kama ulikuwa huelewi. RAK Gas, mwenyeji wao ni Bakhresa.

Akiamua km alivyoamu akuwa na TV kelele zenu huwa zinapotea haraka sana.Vipi ukisikia ni mwekezaji ...si ana madalali wake wa kimatumbi na hakuna sababu ya kubisha kitu ukishapewa au kuahidiwa kupewa.
 
Menfi ni tamaa, nimekuuliza na kampuni ya utafiti wa mafuta na gas? na imeshafsnya wapi? jibu ni hana wala hawezi, hata achukuwe wataalaam wa dunia nzima awaajiri, mwishowe ataishia kuwapa contract makampuni yenye teknolojia, ambazo wanazilinda.

Huu ujanja ujanja wa kijinga sasa ni wakati muafaka kuodokana nao. Mengi anafikiri kama matapeli wa mjini na si kama mfanyabiashara mbunifu.

Hana mbinu, ni kama papa usingizi limeacha mdomo wazi linangoja samaki wajiingize wenyewe mdomoni. Mbinu za kijinga na kizamani.

Bado meupe tuu ktk akili yako..

NI wewe ndio unayemwona tapeli wa mjini..mkitaka si muweke kiengele kuwa akiwa dalali mnammnyang`anya halafu muone.Ujinga umewazidi sana nyie waswahili.Hata makampuni ya nje mengi tuu hayafanyi kila kitu.Yaani kuw ana mitaji na kuwa na techlogia?wengine hata mitaji hawana, wana namna ya ku raise fund kupitia loans za mabank makubwa na taasisi nyingin ektk nchi zao, halafu wana subcontract uchimbaji, na mengine kw amaakmpuni mengine ambayo nayo yanaweza tumiia technologia za watu wengine kabisa tena zinalindwa kisheria.Mnachofanya haap ni kuwafanya wazungu waingi emikataba kwao kumbe ni kampuni ziaid ya moja.

Hata waarabu watakuja Bid hapa wakati ktk uchimbaji waarabu hawana technologia yao hata chembe,ila wana hela tuu.Sasa huo ujinga wa mhongo kuwa makampuni hayatoi technologia ni mpuuzi tupu.Kwani nani anahitaji chukua technoligia yao/watu wanataka huduma inayotokana na technologia ili gesi itoke na kuandaliwa kufika kwa wateja.
 
Kwa kweli huyo Profesa anaangusha usomi Tanzania.
Ni kama waliomfundisha walimwambia "tunakufundisha , lakini in case of difficulties refer back to us"
Thats exactly what he is doing, haonyeshi kuwa a practical, original thinker, a crammer yes!!

Angekuwepo wakati wa uhuru, wakati Mwalimu ana madaktari wawili na Ijinia mmoja , angesema mwafrika hawezi kuendesha ndege, tena kwa kiingereza angesema "its too complicated" .

Leo hii India inapeleka chombo Mars, wakati Uingereza iliyowatawala hata outer space kwenda ni shughuli pevu.
Wanasayansi wa India wangekuwa Vihongo(wingi wa Muhongo), pengine nao wasingefikiria kama watu wenye akili timamu.
Muhongo ni janga la usomi, ni msomi aliye cramm subject matter bila kuelewa jinsi atakavyoweza kufaidika na matter hiyo kama mtanzania.
Tukiwa na Vihongo wengi katika uongozi kama Profesa wetu huyu, basi hata dhana ya kujitegemea inabidi waende World Bank kwa reference!!!!

HAdi sasa hawa jamaa hawajui kuwa hata Bakhresa anchukua mikopo world bank.....ktk sector ya nafaka.Halfu hawa jamaa wa mlimani bado wana zile fikra za ..'"za kwenye desa ambazo zimepigwa copy hadi hata mengine hayasomeki".

Jamaa hajui kuwa Mengi anaweza fanya crowd courcing na kupata hela hapa hapa ndani km NIcol, hawajui kuwa tayari anaweza secure hela World bank au ADB.

Umesema kweli mataifa mengi tuu duniani yalitawaliwa ila hawakuwa na fikra za kitumwa sasa wanawazidi au kuwatawala masters wao wa zamani..mf.Brazil na Ureno, US na UK, China na Japan, Agentina na Spain, sasa hivi wareno wanakimbilia ajira Msumbiji,cape verde na Angola.

Kwlei angekuwa kipindi cha mwalimu huyu prof..asingetumia ubongo hata kidogo angesema mtu mweusi hajui kitu na hatokaa amfikie mzungu.

Sijui ni kwamba yupo tuu naive au...?Kw aujumla huyu jamaa hatoweza tuvusha popote..ndio maana bado watu wasiosoma wanafanya mambadiliko ktk hii nchi kwa vile wanathubutu sana..ingawa wanatamani sana kuwa na hii elimu ili waende mbali zaidi.Na mengi kawatega vyema sana kutowaambia atafanya nini kwani wangekimbilia wao kufanya.
 
Back
Top Bottom