Mwita Matteo
JF-Expert Member
- May 16, 2010
- 216
- 55
pamoja na aliyoyasema lakini aliupotosha umma kuhusu maraisi wa Mexico, rais wa sasa wa Mexico anaitwa Enrique Peña Nieto, na si Felipe Calderón kama alivyosema yeye wakati anachangia kuhusu tatizo la madawa ya kulevya nchini