Jamani mimi nampenda lakini chakushangaza simjui lakini kila mara mawazo yanakuwa juu yake nini suruhisho lake??
Jamani mimi nampenda lakini chakushangaza simjui lakini kila mara mawazo yanakuwa juu yake nini suruhisho lake??
humjui ulimuona wapi ukampenda??? they say true love never happen,,,, while others says true love never die,,,, kazi iko kwako sasa kutujulisha kati ya misemo hii ipi ina ukweli my boy,,, work hard to save ur soul...
Duh!!kweli!!ngoja nikirudi nitarudi na jibu!!Nitakwambia!!Kama umekutana nae humu JF ukajenga hisia za kumpenda basi kutana nae ili hizo hisia zipungue sababu imagination is more powerful, najua kichwani mwako utakuwa na kiumbe ambae in reality hapatikani...
:confused2:
Jamani mimi nampenda lakini chakushangaza simjui lakini kila mara mawazo yanakuwa juu yake nini suruhisho lake??