Honey Faith si nilikuambia.Chaguo langu ni the boss
Mambo.Honey Faith si nilikuambia.
Hata mi sijui.Mambo.
Mbona hujajibu pm yangu?
Sio fresh ujueHata mi sijui.
Eti eeeh!!Sio fresh ujue
Wewe hunasifa hizo jana tu umetoa bonge la tusi kwenye Uzi wa waraka wa moniccca kwa wanaume
Wakuu hbr zenu!
Kuna kijana mwana MMU mwenzetu namzimia sana, ni mpole post zake zimejaa hekima na hajawahi kutukana, nimejitahidi kutupia vipost ili nayeye aje angalau lkn wanakuja nisiyo wapennda.
Naomba mnisaidie kumwambia plz maana moyo wangu krbu upasuke.
Atakaye nifikishia ujumbe huu ntampatia zawadi nono.
Mwambie yeye ndiyo pumzi yangu ntakufa kama akinikataa
Chonde chonde nisaidieni wakuu.
na hilo ndio tatizo tulilo nalo binadamu wewe sio mwema lakina wataka mtu mwema wewe sio mstaharabu lkn wataka mtu mstaharabu hivi hii imekaajee?ni shidaaaaaa mtu hupewa kulingana na vile alivyo kama ww mwizi utampata mwizi mwenzio kama hataiba kwa watu basi atakuibia wewe mwenyewe tujifunze kuwa wema ili nasi tustahili vilivyo vyema.Wewe hunasifa hizo jana tu umetoa bonge la tusi kwenye Uzi wa waraka wa moniccca kwa wanaume
punguza kuwaza ngonoWakuu hbr zenu!
Kuna kijana mwana MMU mwenzetu namzimia sana, ni mpole post zake zimejaa hekima na hajawahi kutukana, nimejitahidi kutupia vipost ili nayeye aje angalau lkn wanakuja nisiyo wapennda.
Naomba mnisaidie kumwambia plz maana moyo wangu krbu upasuke.
Atakaye nifikishia ujumbe huu ntampatia zawadi nono.
Mwambie yeye ndiyo pumzi yangu ntakufa kama akinikataa
Chonde chonde nisaidieni wakuu.