nina mpenz wangu huu n mwaka wa tano sasa hataki kunitambulisha kwao wala kunizungumzia kwa marafiki zake.na ikitokea tuenda sehemu anataka tukutane huko huko.kibaya zaidi tupo hostel moja kwa miaka yote hiyo kuja chumban n usiku sana au kuonana sehemu za giza tu.hatujawah kula pamoja kantini kuongozana au kusogeleana wakati wa mchana hata tukikutana kwenye korido n salamu za kuchekeana..tupo madarsa tofauti na ilishawi kukutana tupo kipindi anadai nisi msogele kwa kuwa hataweza kuongea wala kuelewa kabisa na discousion ndo nsujaribu kwa kuwa akili itamuhama..
mwanzoni alikuwa na sababu kwa kuwa mama yake na yy alikuwa compus moja hivyo akawa anamohofia asionekane ana tabia mbaya..ki ukweli n bint mstaarabu na sio limbukeni au mauuza sura lakini kama kweli ananipenda iwaje aweke distance hivyo na tukiwa wemyewe mafichoni anajiachie hivyo..sisemi anakumbatie au kunibusu hadharani ila awr free kama anavyokuwa kwa watu wengine...je ni aibu au muoga au hanipendi..hajaw kuwa na mahusiono hapo awali m ndo wakwanza.nisaidieni nifanyaje
mwanzoni alikuwa na sababu kwa kuwa mama yake na yy alikuwa compus moja hivyo akawa anamohofia asionekane ana tabia mbaya..ki ukweli n bint mstaarabu na sio limbukeni au mauuza sura lakini kama kweli ananipenda iwaje aweke distance hivyo na tukiwa wemyewe mafichoni anajiachie hivyo..sisemi anakumbatie au kunibusu hadharani ila awr free kama anavyokuwa kwa watu wengine...je ni aibu au muoga au hanipendi..hajaw kuwa na mahusiono hapo awali m ndo wakwanza.nisaidieni nifanyaje