Namna ya Kuitika

sie huwa 2naitana kisela :OYA WEWE HEBU NJOO HAPA,nae anaitikia HAMNA NOMA NAKUJA ASKARI WANGU
 
Shida isije ikawa ni loop hole ya hao wanaitwa nyumba ndogo, unless uniambie haoni shida hata mkiachana wewe kwako nia sawa tu.

Tuachane kisa kiitikio!?Hiyo ni kama kachumbari kwenye chakula na mtu hashibi kwa kachumbari!Na ikitokea ikakosekana hawezi kususa waka kutofurahia chakula as long as chakula ni kitamu!
 
huwa namwita my strawberry naye anaitikia yes my apple!!!!!!!!!!!!!!
 
Nikiwa namwita huwa natumia Daddy!!! nae anajibu Yes my daughter!!!

Tukiwa kwenye ugomvi huwa namwita jina lolote lililo karibu yangu :becky::becky::becky::becky:

ha ha ha ha!
Duh...
Mi namwita we mbabu na yeye anasema niambie we mbibi....
Au we katoto na yeye anasema niambie katoto....
 
Back
Top Bottom