Maria Roza
JF-Expert Member
- Apr 1, 2009
- 6,797
- 1,567
Swali zuri sana hili. MR hebu tufafanulie zaidi
khaa hulali weye!! ntakunyima kazi ya u bodyguard kama Rihanna :becky::becky:
Swali zuri sana hili. MR hebu tufafanulie zaidi
Shida??Nini??Nakuja!Nna kazi!Usinisumbue!
Hehehe ajabu kwani?Mungu wangu!
khaa hulali weye!! ntakunyima kazi ya u bodyguard kama Rihanna :becky::becky:
Shida??Nini??Vipi?Nakuja!Nna kazi!Usinisumbue!Oh na kumuita ni wewe?Oya?
Hehehe ajabu kwani?
Hahahha Lizzy safi iyo!
Nimeshituka sana, halafu unaitika kwa jazba vile mbele ya marafiki zake au watu wengine, atakwazika mno
Atazoea tu!!!Kama jeshini vile!!!
Shida isije ikawa ni loop hole ya hao wanaitwa nyumba ndogo, unless uniambie haoni shida hata mkiachana wewe kwako nia sawa tu.
Nikiwa namwita huwa natumia Daddy!!! nae anajibu Yes my daughter!!!
Tukiwa kwenye ugomvi huwa namwita jina lolote lililo karibu yangu :becky::becky::becky::becky:
Nani mimi ?Tuko pamoja mkuu, inaleta raha, je wewe ukiitwa waitikaje?