johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,000
- 142,027
Swala la Bandari limetamatika na jana mwenyekiti wa DP World alikuwa Makete Njombe yalipo Makao makuu ya mganga wa Utajiri Tanzania Dr Mwakipande
Nakumbuka mjumbe wa kamati kuu ya ACT Wazalendo mh Jussa alisema Zanzibar haihusiki na TPA na kwamba Bandari siyo swala la Muungano
Basi mh Ismail Jussa usije badilika mbele ya safari
Mungu wa mbinguni mbariki Abdul Nondo 😀
Nakumbuka mjumbe wa kamati kuu ya ACT Wazalendo mh Jussa alisema Zanzibar haihusiki na TPA na kwamba Bandari siyo swala la Muungano
Basi mh Ismail Jussa usije badilika mbele ya safari
Mungu wa mbinguni mbariki Abdul Nondo 😀