Niseme wazi hapa:
Kujadiliana kwa hoja ndiyo ulioustaraabu na kwa kuliwezesha hilo Kudos, JF:
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila majibu yale 5 nilikuomba hayakuja. Si vyema kuyaachia mambo njiani.
"Labda ungali unayafanyia kazi."
Hata hivyo inajulikana maswali ni maswali mengineyo ni magumu.
Nikadhani ndiyo maana na kiroho safi tulikubaliana kuwa:
"kuomba 'pooo' nayo imo." --ridhaa muhimu kwenye mpambano. Na hata kwa kina M*ndonga mtu kazi, huko.
Kuwa huru ikikupendeza mkuu.