G Sam
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 11,555
- 35,880
Lakini Magufuli mwenyewe alishathibitisha kuwa uwezo wa kuwapoteza watu anao na akatolea mfano jambo moja alilofanyiwa Kikwete akisema kuwa ingekuwa yeye basi nusu au robo wangepotezwa! Pia kule Zanzibar kauli aliyotoa mbele ya Shein kuhusu Maalim ilidhihirisha namna asivyo na ubinaadamu rohoni!